Kujua Sheria Raha sana. you look at every words said and make sure you are not implicated by your own or your witness words.
Upande wa pili kazi yao kukuliza maswali ya mtego ujichanganye wewe ukiujua mtego wao Raha mustarehe
Una uhakika hilo mi kanisa katoliki padre anashauri wapeane Mikono waambiane maneno sijui mwambie mwanzako hivi au mwambie mwenzko vile.
Kwenye parokia yetu wakati wa kupeana amani hatushikani tena mikono tunainamiana kwa unyenyekevu tukisema amani ya Kristu.
Kuhusu padre kuhubiri muda ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.