Recent content by vivian

  1. vivian

    JamiiForums Tanzania Mnaolipa mamilioni kusomesha watoto EMS mmesikia kilichomkuta huyu jamaa kwa binti yake?

    Mwambie asisahau Condom. Nesingi ndio chuo gani?
  2. vivian

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Mwashambwa, Tlaa, Choice na machawa wengine

    unaandika for the sake of writing huna hata hoja
  3. vivian

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Mwashambwa, Tlaa, Choice na machawa wengine

    Why would someone have personal issues with the government?
  4. vivian

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Mwashambwa, Tlaa, Choice na machawa wengine

    you should come to your senses and bahave like someone who have seen four corners of a classroom and not otherwise. your support for the ccm government should not make you see people who are complaining of abductions and the Ctober 29 kilings as being against the government. we do support our...
  5. vivian

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania, Tundu Lissu akitoka gerezani mko tayari kuridhiana?

    kwanini tunaongelea maridhiano ni kati ya wanasiasa na wanasiasa na sio maridhiano baina ya serikali na wananchi kwa kilichotokea October 29. nani kasema chadema inatuwakilisha wote. Hivi kuna aliyepoteza mpendwa wake MO20 ana mahusiano mazuri na hii serikali? Chadema na serikali kama wana yao...
  6. vivian

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Mwashambwa, Tlaa, Choice na machawa wengine

    Is this English or something close to English?
  7. vivian

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa bure kwa Mwashambwa, Tlaa, Choice na machawa wengine

    Hakunaga tuhuma za General hivi, watu wanasema tu amekula pesa. kama hiyo tone tone inawekwa Benki kutolewa lazima mnyika na wengine wahusike kama signatories sasa kama pesa imeliwa mbona heche peke yake? halafu shilingi ngapi amekula?
  8. vivian

    JamiiForums Tanzania "Ukumbi walipuka kwa shangwe Waziri Mkuu alipoingia kwenye Knock Out ya Mama."

    watu wa ccm tafuteni vitu vya maana vya kuwasifia watu wenu acheni kujiabisha.
  9. vivian

    JamiiForums Tanzania Rais Samia asisitiza Mawaziri kutoa Taarifa Sahihi kwa Wananchi

    Ujumbe Murua kwa ndugu Msemaji Mkuu
  10. vivian

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Hotel inauzwa, ipo Samora Dar es Salaam. Bei ni dollar milioni 6

    Nikajua umeweka kwenye matangazo madogo madogo
  11. vivian

    JamiiForums Tanzania Kama kweli CCM wamefikia hapa, inabidi wajitafakari

    Nimekutana na Clip hii kwenye Mitandao ya Kijamii kama ni kweli basi ni kubaya.
  12. vivian

    JamiiForums Tanzania Natafuta Minada ya Mbuzi na Kondoo kwenye mikoa hii

    Ni mamsera sio Mashati.
  13. vivian

    JamiiForums Tanzania Na hizi ndio 20 Tv series kali of all the time

    sioni watu wakitaja Lucifer
  14. vivian

    JamiiForums Tanzania Na hizi ndio 20 Tv series kali of all the time

    Hii nimeona season 1 peke yake hebu nishawishi niangalie season 2 na 3
  15. vivian

    JamiiForums Tanzania Na hizi ndio 20 Tv series kali of all the time

    Homeland. acha kabisa
Back
Top Bottom