Recent content by vivian

  1. vivian

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Katuga: Shahidi una akilili timamu kweli? Heche: Kumuulize......... wakumalizia amalizie hapa
  2. vivian

    JamiiForums Tanzania Leo Mahakamani kesi ya Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri, shauri litaendelea kusikilizwa kwa upande wa utetezi

    Gulugwa atulie anatoa room kuulizwa maswali mengi mwisho wake atamu implicate Lisu
  3. vivian

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hakuna anayependa Jeshi lake lichafuke. Nimewalinda ndio maana nimewabadilisha

    Kuna vitu vingine kuvitetea ni ngumu sana
  4. vivian

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Kujua Sheria Raha sana. you look at every words said and make sure you are not implicated by your own or your witness words. Upande wa pili kazi yao kukuliza maswali ya mtego ujichanganye wewe ukiujua mtego wao Raha mustarehe
  5. vivian

    JamiiForums Tanzania Natafuta msichana wa kuwa naye

    Nenda Porini katafute Tumbili in town wenzio
  6. vivian

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Mwenye kumuelewa huyu anieleweweshe najaribu kumuelewa nashindwa kabisa
  7. vivian

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Sema Mnyika anajitahidi sana. Hope Rupia na Heche watakua matata hivi hivi
  8. vivian

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Una uhakika hilo mi kanisa katoliki padre anashauri wapeane Mikono waambiane maneno sijui mwambie mwanzako hivi au mwambie mwenzko vile. Kwenye parokia yetu wakati wa kupeana amani hatushikani tena mikono tunainamiana kwa unyenyekevu tukisema amani ya Kristu. Kuhusu padre kuhubiri muda ambao...
  9. vivian

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho

    Nasubiri Cross Examination ya akina katuga kwa Mnyika
  10. vivian

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kamati kuu chadema yaahirisha kikao baada ya katibu mkuu kujiuzulu

    Kumbe hata mwezi hana
  11. vivian

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Kamati kuu chadema yaahirisha kikao baada ya katibu mkuu kujiuzulu

    Huyu Si Shahidi
  12. vivian

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuendelea na maswali ya dodoso Mahakamani leo Agosti 28, 2026

    hapa kuna kesi ya uchechezi sio uhaini
Back
Top Bottom