Wala kulikua hakuna haja ya kufika kote huku. ukiangalia mwenendo wa kesi utaona fika kuna tatizo sehemu. unless uwe huna uwezo wa kuangalia mambo kwa jicho la tatu
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake apewe, huyu Baba anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu sana.
Nimekua napita hili eneo kila siku asubuhi na jioni kwenda kwenye mihangaiko yangu, ukiona siku ambayofFoleni haisogei katika mpangilio wa kueleweka jua siku hiyo sio yeye anaongoza magari...
Hivi kwanini Binadamu hatupendi kutumia akili zetu? Acheni kimchonganisha Pascal Mayalla na waandishi wa habari. Nilikua nasoma sana hoja za Pascal Mayalla kuhusu the economist na nilimuelewa sana.
Na kamwe usitegeeme Pasco atakuja hapa aseme kwenye uchambuzi wangu nilikua namaanisha hivi...
Nyongo inasababishwa na wingi wa sukari kwenye Pombe, Kutetemeka mikono kunasababishwa na unywaji wa kupitiliza mpaka concentration ya pombe kwenye damu inakua nyingi kuliko maji.
jibu la mlevi mwenzio hapa zero pub Asprin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.