you should come to your senses and bahave like someone who have seen four corners of a classroom and not otherwise. your support for the ccm government should not make you see people who are complaining of abductions and the Ctober 29 kilings as being against the government. we do support our...
kwanini tunaongelea maridhiano ni kati ya wanasiasa na wanasiasa na sio maridhiano baina ya serikali na wananchi kwa kilichotokea October 29. nani kasema chadema inatuwakilisha wote.
Hivi kuna aliyepoteza mpendwa wake MO20 ana mahusiano mazuri na hii serikali? Chadema na serikali kama wana yao...
Hakunaga tuhuma za General hivi, watu wanasema tu amekula pesa. kama hiyo tone tone inawekwa Benki kutolewa lazima mnyika na wengine wahusike kama signatories sasa kama pesa imeliwa mbona heche peke yake? halafu shilingi ngapi amekula?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.