Recent content by vivian

  1. vivian

    Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

    Wala kulikua hakuna haja ya kufika kote huku. ukiangalia mwenendo wa kesi utaona fika kuna tatizo sehemu. unless uwe huna uwezo wa kuangalia mambo kwa jicho la tatu
  2. vivian

    Traffic Police Mweupe Mfupi anayeeongoza magari kwenye taa za St. Peters Osterbay anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu

    Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake apewe, huyu Baba anafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu sana. Nimekua napita hili eneo kila siku asubuhi na jioni kwenda kwenye mihangaiko yangu, ukiona siku ambayofFoleni haisogei katika mpangilio wa kueleweka jua siku hiyo sio yeye anaongoza magari...
  3. vivian

    Kuanzia leo naacha pombe

    Hongera zako dady
  4. vivian

    Kipilimba, Umekubali kuvuliwa nguo?

    yametokea
  5. vivian

    Imefichuka huyu ‘ Mtu ‘ ndiye ‘ aliyemchoma ‘ Ndugu Erick Kabendera hadi hivi sasa ‘ anateseka ‘ huko aliko

    Hivi kwanini Binadamu hatupendi kutumia akili zetu? Acheni kimchonganisha Pascal Mayalla na waandishi wa habari. Nilikua nasoma sana hoja za Pascal Mayalla kuhusu the economist na nilimuelewa sana. Na kamwe usitegeeme Pasco atakuja hapa aseme kwenye uchambuzi wangu nilikua namaanisha hivi...
  6. vivian

    Nyongo Itokanayo na unywaji wa Pombe

    Nyongo inasababishwa na wingi wa sukari kwenye Pombe, Kutetemeka mikono kunasababishwa na unywaji wa kupitiliza mpaka concentration ya pombe kwenye damu inakua nyingi kuliko maji. jibu la mlevi mwenzio hapa zero pub Asprin
  7. vivian

    Nyongo Itokanayo na unywaji wa Pombe

    Unauliza Madaktari au walevi wenzio?
Back
Top Bottom