Mimi mwenyewe waliniweka hawa madalali wajinga, nikanunua nyumba niliona imepambwa na marangi nikaipenda, mwezi mmoja tu rangi imepauka, sijakaa sawa nyumba nzima ufa. Nilimchukia sana huyu dalali namkumbuka anaitwa sijui Ndimbo, hovyo kabisa, na pesa yenyewe nilichukua mkopo, mpaka leo...
Maumivu katika mapenzi ni kama ajali wakati mwingine hayawezi kuepukika jamani ila kuachwa kunauma sana hasa na mwanaume ninayempenda, pole kwa marry Mungu amjalie afya tena
Mtumishi umenena vyema sana, kweli tunaangamia kwa kukosa maarifa. Hawa manabii wanapitia katika ujinga wetu kupata utajiri wa ajabu. Mimi niliwa kwenda kununua hayo mafuta pale Miracle center kwa Mtume Peter Nyaga, nilinunua kichupa kidogo laki moja(100000). Nilipokunywa Yale mafuta, nilikuwa...
Ndugu zangu wana JF asanteni kwa ushauri wenu mzuri. Lakini nahisi kama ndio nimetonesha kidonda upya, nimekuwa na mawazo kupitiliza kadri ninavyopitia michango yenu nabaki nalia sana, Sijui nifanye nini Mungu wangu. Mume wangu toka Jana jioni anaona siko sawa, nikamwambia najisikia tu vibaya...
Asante sana Mshana Jr, inaonekana we ni mtu mwenye hekima na busara, niliona jf ndio sehemu muhafaka ya kulizungumza hili na roho yangu angalau ipate faraja, lkn naona wengine wananikejeli, na maswali mengine yasiyohitaji majibu, nahis ni watoto na hawajakutana na matatizo. Mungu awasamehe tu.
Habari zenu wa JF,
Nimeona leo nitoe siri yangu hapa ya muda mrefu ambayo imekuwa ikiniumiza sana pale tu ninapokumbuka, nakosa raha na amani inapotea.
Kwa ufupi kabisa, nilizaliwa mkoani Mara wilaya ya Musoma mjini maeneo ya Nyakato, mama yangu alibeba mimba yangu akiwa darasa sita hivyo...
Mwaka mzima bila kupata, na uchepuki nje, we mwanaume utakuwa na tatizo, yawezekana mkeo anagegedwa na waume wa nje fuatilia nyendo zake utaona. Mi siamini kama anaweza kaa mwaka mzima bila kufanya. Mi mwenyew hata mwezi siwez lazima mume wangu anigegede
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.