Recent content by virobahavifai

  1. V

    Makubaliano ya Viongozi wa UKAWA kifedha yameishia wapi?

    Sehemu ya pili Nisingependa kujadili afyaya mzee Lowassa kwasababu hili ni jambo binafsi ila naomba itoshe nikisema mzee wetu anapoteza kumbukumbu kwa haaka sana. Fedha toka ujerumani chadema waliomba msaada toka wafadhili wao kwa ajili ya uchaguzi shilling billion 15 zilitumwa na...
  2. V

    Wanamabadiliko jiandaeni kifikra hali ndani ya ukawa ni mbaya, Tamaa imeimaliza UKAWA

    Wanamabadiliko jiandaeni kifikra hali ndani ya ukawa ni mbaya kuliko mnavyodhania kadri siku za uchaguzi zinavyokaribia. Ukawawalishapoteza dira toka kitambo na kuna mambo mawili ndiyo yaliyoleta huo mtafaruku ni fedha na mtandao. Nianze la hili la fedha, moja ya mambo ambayo yaliahidiwa na...
  3. V

    Mtikila amefichua mipango ya wafugaji kushika hatamu?

    nakumbuka arusha wakati lowasa anatangaza nia mwenyekiti wa wafugaji Tanzania nzima alisema kuwa kuna wafugaji milioni 17 nchi nzima ambao wote watamuunga mkono Lowasa, hii ni hatari kabisa lazima usalama wa taifa waliangalie hili kwa makini, kuna maeneo ambayo kuna wafugaji wengi wa kimasai...
  4. V

    Lowassa achafua Dodoma kwa rushwa

    Wakuu Dodoma sasa inatisha Wallahi naapa tangu nizaliwe sijawahi kuona mabilioni ya pesa yakimwangwa kama njugu katika mji huu wa Dodoma. Leo nimemshuhudia mpambe wa Lowasa hana Rainbow pup akigawa maburungutu ya elfu kumi kumi kwa wajumbe wa mkutano mkuu walipoanza kuwasilia mjini hapa...
  5. V

    GE2015 Jasusi Colonel Apson Mwang'onda atua Dodoma

    Wakuu bado nipo hapa Dodoma kwa takribani wiki sasa, lengo ni kuwajuza kila kinachojiri katika mchakato wa ccm wa kumchagua mgombea wake wa urais. Jana lile jasusi na kachero mstaafu wa idara ya usalama wa taifa Colonel Aspon Mwang'onda limewasili hapa Dodoma. Amefikia katika kitori Hotel...
  6. V

    Hali mbaya ya mauzo yasumbua Gazeti la Mwananchi, wafanyakazi wapata hofu ya kuachishwa kazi

    Hali ya imekuwa tete kwa gazeti la mwananchi ambalo linasadikiwa kuyumba kiuchumi kutokana na kukosa shabaha katika malengo yake ambayo menejiment iliyokuwa imejiwekea na kusababisha hali ya sintofahamu kwa wafanyakazi na waandishi wa gazeti hilo. Menejimenti ya mwananchi ya hapa Dar es...
Back
Top Bottom