Recent content by virgo man

  1. virgo man

    DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

    [emoji1787]bro tangu mwanzo anapita na upepo anapiga promo Jan motors.....(kuna site za auction ukiingia unaona hadi history ya gari kama iliwahi pata ajali...kuhusu magari usikurupuke bora uingie gharama zaidi ili upate kitu kizuri...
  2. virgo man

    Kwanini mabasi yatokee stendi kuu ya Magufuli?

    Usafiri sio starehe ni huduma,kama lengo ni mapato kutoka kwa abiria basi mabus yaongeze miatano katika nauli ili yakifika mbezi yatoe ushuru ili watu wasipate usumbufu,pia haya mabus huwa yakitoka mbezi ni direct kwenye ofisi zao sasa shida nini hapo...[emoji1]watunga sheria hii hata foleni...
  3. virgo man

    'Jeneza' la Simba: Fear of the unknown

    Hii nchi inavituko sana ule ni ubunifu,basi movie za kibongo wasiigize majeneza,music videos zisiigize hivyo,haya yule alieshika bundiki feki na yeye jeshi la polisi litoe tamko?kuna wakati lady gaga alitengeneza vazi la nyama ya ng'ombe akatumbuiza..sioni kosa lolote pale hajadhihaki dini ya...
  4. virgo man

    Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

    Yanakaa muda gani mpaka uanze kuvuna kwa ajili ya chakula cha ng'ombe
  5. virgo man

    Nilipokutana na vibaka usiku nikiwa na girlfriend wangu

    Jamaa kapika hadi kaunguza [emoji38]
  6. virgo man

    Kwa bajeti ya Tsh 800,000 (laki nane) naombeni ushauri ninunue simu gani nzuri

    Chukua samsung M31s or M 51 Storage 128gb Ram 16 Camera selfie kawaida Front 4k Batter 5000mah [emoji91] M51 battery 6000mah
  7. virgo man

    Nahitaji partner kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama (broiler)

    Yah maana wastaafu wa siku hizi unakuta mtu anakaa 2yrs hajapata mzigo so hawezi kuchezea pesa..
  8. virgo man

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Vijana rudini nyumbani mkasalimie!! Nilikua kila likizo lazima nije Dar,nikirudi najiona mjanja sana ila ulikua utoto,nilikua nakusanya jersey karume 2000 nawaletea wana zawadi...nimeishi mkendo kati,kennedy,kamnyonge..kulikua na mwalimu azimio mkali wa maths nimeshau jina lake enzi zetu kulikua...
  9. virgo man

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    [emoji1787][emoji1787]hawa jamaa walikua wanafanya dolia ya mabishoo sasa enzi hizo mabishoo walikua wachache walikua wadogo zangu,bishoo lazima ilikua uwe wa kishua David kisamba,juma kigera,magoma,cabin alikuwepo lusato a.k.a doctor sema walikua wanaazimana nguo sana...kulikua na walw madogo...
  10. virgo man

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Dioceses ilikua sehemu nzuri sana kulikua na team za mpira,music,kulikua na league mshindi anapewa box la sabuni na crate la soda enzi hizo wachezaji wazuri ilikua Rujama kutoka nyasho,shilla kamnyonge,cosmas,phinias...aisee
  11. virgo man

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Aiseee hawa jamaa ilikua hatari ilikua town ukienda unadakwa na jamaica unapokonywa vitu,ukija majita road akina majani,mtoto Iddy,enzi hizo ukienda complex muda wa kutoka wale watembea kwa miguu mnatekwa mnavuliwa viatu [emoji1] [emoji1787]
  12. virgo man

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Ukija zone ya mjini kuja jamaa alikua anaitwa maiti alikua anabaka watu akikikumata anakuambia chagua Bega [emoji1], enzi hizo hotel kali zilikua mojawapo afrilux,stigma [emoji1]
  13. virgo man

    Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Hahaha Musoma enzi hizo umitashumta kuna wachezaji wakali,kanda ya nyasho,nyamatare,nyakato ilikua inatoa wachezaji wamekomaa sana kama akina lubengo, ukija zone ya musoma primary,azimio,mwembeni na mkendo walikua mabishoo akina nyagiro,waziri mkumbo..ilikua balaaa enzi hizo, Katika shule za...
  14. virgo man

    Nahitaji partner kwenye mradi wa ufugaji kuku wa nyama (broiler)

    Hili sio banda ni godown...hewa haingii,halafu kwenye cost mhh..sio realistic kabisa,jamaa kachagua upande ambao cost ni costant..ila upande wa cost za chakula ni kubwa mno... HII DILI LABDA UMUOTEE MSTAAFU ANAWEZA KUKURUPUKA!
Back
Top Bottom