Hahaha Musoma enzi hizo umitashumta kuna wachezaji wakali,kanda ya nyasho,nyamatare,nyakato ilikua inatoa wachezaji wamekomaa sana kama akina lubengo, ukija zone ya musoma primary,azimio,mwembeni na mkendo walikua mabishoo akina nyagiro,waziri mkumbo..ilikua balaaa enzi hizo,
Katika shule za...