Recent content by vioner

  1. vioner

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    [emoji17]Tupeni connection jamani ata kujitolea tu jamani wengine hatuna wa kutushika na familia zetu hazijasoma sis ndo tegemezi [emoji1373]
  2. vioner

    Natafuta ajira sehemu yoyote halali

    Npo dar es salaam
  3. vioner

    Natafuta ajira sehemu yoyote halali

    Amen[emoji1431]
  4. vioner

    Natafuta ajira sehemu yoyote halali

    Habari wana JF kama kicha kinavyojieleza apo mimi ni binti wa miaka 22 natafuta ajira elimu yangu ni kidato cha sita mpaka sasa sjapata ajira,nna cheti cha basic computer,microsoft exel na advanced exel naombeni msaada wenu. Pia nna uzoefu wa afisa mikopo. Kazi yoyote iwe supermarkerts...
  5. vioner

    Ero Link Recruitment Agency - Scandal

    Naweza pata kazi apo hatakama sjamaliza chuo npo mwaka wa 2 jmn npate ata kitu cha kufany maish magumu
  6. vioner

    Bank kuu yamwaga Ajira kwa vijana wenye Sifa

    Khaaa heee sjaona kbsaaa apo juu
  7. vioner

    Ajira: Ubalozi wa UK, Receptionist. Mshahara Tsh 1.5M+ kwa Mwezi

    Na Ambao Bado tupo Chuo haituhusu? Japo tunatamani
  8. vioner

    Bank kuu yamwaga Ajira kwa vijana wenye Sifa

    Jaman kwangu haifunguki
  9. vioner

    Accountant anahitajika

    Haifunguki
  10. vioner

    Accountant anahitajika

    Duh ila wakijifikiria kunipa ntafanya
  11. vioner

    Accountant anahitajika

    Dah ngji nmalize chuo kwanza nmeikosa hiyo japo natamani kuanza ata kufanya kazi kupata experience mana ukimalza chuo unahitajika experience 3 yrs mtihanii
  12. vioner

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Jmn wengn mwaka huu tunataka tulime tikiti ....naweza join humo...mkanifungulia link nkajoin mana ipo revoked Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom