vioner
Member
- Mar 3, 2019
- 58
- 22
Habari wana JF kama kicha kinavyojieleza apo mimi ni binti wa miaka 22 natafuta ajira elimu yangu ni kidato cha sita mpaka sasa sjapata ajira,nna cheti cha basic computer,microsoft exel na advanced exel naombeni msaada wenu. Pia nna uzoefu wa afisa mikopo.
Kazi yoyote iwe supermarkerts, receptionist, sheli za mafuta, viwandani na maduka ya simu na popote pale.
Sijapata kazi wapendwa naombeni msaada wenu
Kazi yoyote iwe supermarkerts, receptionist, sheli za mafuta, viwandani na maduka ya simu na popote pale.
Sijapata kazi wapendwa naombeni msaada wenu