No reforms no election.
Wakuu kama mada inavojieleza, kuna mwanamke nimekua nikimfukuzia kwa mda kidogo sasa leo katika maongezi mara ghafla akaniambh nina sura ya upole. hii kauli niliipokea kwa mshtuko mana ilikua ghafla sikujua kawaza nini hadi aniambie hivo. je, wewe ulishawahi ambiwa hvo...
HUYU CHOISE VARIABLE ndo definition ya watanzania wapumbavu ambayo hata wakenya wanaingelea huko mtandaoni. Ni watu wa ovyo sana ambao wao mda wote tu mama mama mama mamamama mama .yani kama mijinga.
swali la kijinga sana hilo. Mtz yeyote anayejitambua hawezi kuwapenda hawa matapeli. Pia simpangii mtu aipende au hasiipend ila ktokana na upeo na utashi wa mtu kulingana tu na mambo yanavoenda uwez kuwakubal hawa watu labda uwe zero IQ au chawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.