Recent content by Vilora

  1. V

    VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha - Sehemu ya Kwanza...

    Kweli CCM ni Zaidi ya Makaburu.
  2. V

    Picha: Mabaki ya Ndege iliyomuua Bob Sambeke.

    jamani poleni kwa ajali. Mbona mimi naiona hiyo ndege kama vile ilikuwa mkweche? Ama vipi wenzangu.
  3. V

    Mwigulu Nchemba: Dr. Slaa na Mbowe wakamatwe kwa ugaidi!

    Chadema ni chama makini, kamwa hakiweza kufanya mambo ya upuuzi. Taifa lote linafahamu. Mikakati ya kuua chadema na ishindwe. Chadema ni mkombozi pekee wa nchi hii.
  4. V

    Ripoti hii ilifichwa: Chanzo cha kuporomoka Elimu Tanzania!

    Halafu kibaya zaidi wanawasingizia wazazi wetu. Jamani tusemeeni huko.
  5. V

    mjini hakuna wazee

    Hapo wanafanya nini?
  6. V

    Babu wa Loliondo: Adamu na Hawa waliishi Ngorongoro

    Jamani mimi baada ya kusoma maelezo haya, nampinga kabisa huyu babu. Huu ni upotoshaji mkubwa. Biblia inasema katika bustani ya Edeni kuna mto Frat uapita katikati yake; Sasa basi atuonyeshe huo mto Frat hapo Loliondo. Babu acha kabisa kuchezea watu. Huyo Mungu wako akudanganye wewe mwenyewe.
  7. V

    Salaam kwa wana jf wote.

    Mimi ni Vilora ndiyo kwanza nimejiunga hapa JF. Kabla ya yote napenda kuwasalimia wana JF wote wakubwa kwa wadogo, Mabwana na Mabibi. Wakubwa shikamoooni na wadogo habari zenu. Tafadhali nipokeeni kwa upendo. Mimi nawapenda.
Back
Top Bottom