Dawa alipewa kwa muda Wa miezi mitatu, baada ya hapo akaambiwa operation ila hajafanya bado ndio tunahangaika Kama atapata tiba mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wapendwa.
Heri ya mwaka mpya. Takribani mwaka mmoja na nusu ndani ya ndoa lkn bado mdogo wangu hajabahatika kupata mtoto. Alienda Kairuki hospital akafanya vipimo akaambiwa mirija yake imeziba na mayai pia hayapevuki.
Mwenye kujua tiba atusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.