Recent content by VikongweEAC1967-77

  1. V

    JamiiForums Tanzania Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata kontena lenye magari 3 na Makontena 20 yenye Mchanga wa Madini

    Adhabu kali ichukuliwe baraka dhidi ya MANYANG'AU haya yasiyotaka kutambua Awamu hii si ile iliwakenulia meno huko tulikotoka!
  2. V

    JamiiForums Tanzania DODOMA: Bashe, Musukuma na Malima waachiwa

    Hivi akina Bashe, Kasheku na Malima nao wamefutiwa UANACHAMA wa CCM?
  3. V

    JamiiForums Tanzania Vikongwe 17,000+ wa EAC waliodhulumiwa Pensheni na Serikali ya Tanzania

    Human Rights activists mpo kutetea nani, ikiwa si pamoja na haki za babu na bibi zenu hawa?
  4. V

    JamiiForums Tanzania Vikongwe 17,000+ wa EAC waliodhulumiwa Pensheni na Serikali ya Tanzania

    Juni 30, 2017 Watanzania zaidi ya 17,000 watatimiza miaka 40 tangia wavunjiwe ajira zao [abolition of office] na kulianza zimwi la "mafao sahihi" linaloendelea kuwatafuna mmoja mmoja! Serikali za Awamu I na II zilidiriki kujinai Hifadhi ya Pensheni ya Vikongwe hawa toka Benki Kuu za Uingereza...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Vipigo vya Machinga Mwanza ni kama kwa Makaburu

    Wakazi tumefurahia hatua ya kuwaondosha Machinga na sasa tunatembea bila kugongana au kulazimika kupita njia za magari/bodaboda. However, hatufurahishwi na brutality ya Askari wa Jiji.
Back
Top Bottom