Recent content by Vifekaa.

  1. V

    kazi PCCB.

    Hayo ndo maneno..
  2. V

    kazi PCCB.

    Mimi cyo 4m4..aisee, nachukua degree yangu sina haja ya kuitaja!
  3. V

    kazi PCCB.

    Hivi kupata ajira PCCB mpaka uwe na vigezo gani, na kama ukutaka kuajiriwa unaanzia wap?
  4. V

    Hii ni zaidi ya kibamia

    Huyu daktari bwana..mbona amecheka sasa!! Kavunja ahadi...
  5. V

    Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa muda mrefu.

    Sina uhakika kama ni kweli..
  6. V

    msichana wa miaka 25 bado bikra

    Kwan bikira ndo kipimo cha uaminifu! Mpaka uwaze kuweka ndani..yawezekana ww ndo ulopata bahati ya kuitoa hiyo bikira yake, wengine walishindwa sababu ya purukushan mchezon..kama unataka kuweka ndani ni maamuzi yako..lakini cyo kisa umetoa bikira yake.....
  7. V

    Jamani nadharaulika kisa nasomea ualimu

    Mi nina wasi wasi na ww, yawezekana huipendi kabisa hiyo fani ya ualimu ndo maana hujiamini..wake up, tell the people that education is the process of modifying individualls behaviour through the process of learning....you are the one now to modify their thought..
  8. V

    Top 100 hundread universities in Africa http://www.4icu.org/topAfrica/

    Na hivyo vingine vya tz vimeshika nafasi ya ngapi..
Back
Top Bottom