Makonda inasemekana ni mchapakazi labda ni kweli siwezi kubisha ila ili kutuaminisha ana uwezo na creative angetolewa kwenye hili jiji la camera na waandishi mkanjanja apelekwe labda rukwa,songea,kigoma huko ili tuone ubunifu wake kuwakwamua raia huko na umasikini na si kuachwa hapa hapa kwenye...
mfano mzuri ni wameru huchaguliwi kama we huna historia hapo jimboni itakula kwako lazma mbunge awe anjua vizuri jimbo siyo maeneo mengine unayajua msimu wa kampeni
mi napata wasi wasi na watu aina ya kina lizaboni hv utaweza kuendana kweli ya kasi ya mheshimiwa rais au we unaenda kwa kasi ya kufuatilia maisha ya lowassa maana naona huna kazi zaidi ya kumchunguza lowassa au ndo assigment yako yako hiyo
Kila mtu huwa ana serikali yake kichwani,,kila mtu huwa chaguo lake moyoni,mi naamini kuna watu dada juliana ungependa kuwaona kwenye viti maalum vya chadema kuna watu wangependa kujiona kwenye viti maalum vya ccm ila dah its limited choice najaribu kufikiria irene uwoya anaichuliaje ccm kuna...
Hii ndiyo tofauti ya lowassa na viongozi wengi wa tanzania jamani viongozi wengi wanngea tu si watekelezaji leo hata magufuli tunaemwani ili awe raisi mzuri inabidi aisaliti ccm kwanza kama akifanikiwa kuwa rais cz hawa wanaotaka kumweka madarakani wataichafua tu sifa yake nzuri mama tibaujuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.