Wewe hujakutana na mbwa wewe!! Harafu jua mbwa sio ukuta..mbwa wanasaidia kuku alert juu ya wezi au wavamizi sasa sio unalaa kama pono kisa nje kuna mbwa,.. pia tambua kuna mbwa na viumbwa. Km unataka kuona mbwa wa maana wa ulinzi hapa tanzania watafute @ King Dawgz
Usiihusishe Bangi kwenye mada zako za kipuuuzi, Nyambafu kabsa wewe!!! Mtoto wa kiume unakalia kufuatilia maisha ya watu... Harafu ulivyomjinga zaid unaingiza kitu muhimu km bangi kwenye upuuzi wako..
Hah hah hapana mkuu, huyu mbwa kweli anajeuri kiasi na zaid sifa ya ujeuri inampata kutoka na mwonekano wake... Ila ni mbwa rafiki sana kwa watu, hasa ukimsocialize angali mdogo, Mbwa huyu ni kwa ajili ya dog fighting hivyo si adui mkubwa kwa watu km wengi wanavyofikiri. Japo akiamua ameamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.