Mwanamke anayekupenda usimpoteze Kamwe ni vigumu kupata mwanamke anayekupenda kwa dhati
Umri siyo tatizo, la umuhimu zaidi Tulia naye mjenge maisha
Kumbuka kuwa muda haurudi nyuma huu ni wakati wako wa kupambania life
Kila la kheri.
ushawahi kukutana na Habari mbaya ya kushtua? Mshtuko wakat mwingine unaua mapema, wengi hufa kwa hofu, hofu ndio unayomuua mtu haraka, wazee wetu umri wao unaposogea picha ama habari inayomjia kichwan ni kifo, hivyo hupatwa na hofu, pengine alikuwa aishi Miaka 150lkn kwa sababu ya hofu...
Wengi hufikiri Kuwa suala la kupata Utajiri ni ndani ya muda mfupi, Kustaafu mapema au kupata gawio (interest) kubwa kila baada ya muda fulani kwa haraka. Ukweli ni kwamba Kuwekeza sio chanzo cha kukufanya ushinde unakula upepo wa bahari, kutumia pesa hovyo(kula bata) au kusafiri vile unataka...
Kuna siku nilienda Kwa mganga kutafuta huo utajiri katika harakati zetu za hapa na pale mganga si akanipa dawa nikaichimbie katikati ya kaburi nikavizia Giza liingie nikafanye jambo langu nikiamini usiku hakutakuwa na watu na sitaonekana ikafika saa mbili nikaingia katikati ya makaburi...
unapata dem
Unamuuliza anataka mwanaume wa vipi anakujibu;
Care
Attention
Support
Honest
Ulivyomjinga unafurai na kukubali bila kuelewa amemanisha nini🤣🤣
Chukua letter zote za kwanza ujue dem anataka nini
C+A+S+H=Cash
Tafuta hela upendwe wewe👉👉👉
Kufanikiwa ni lazima uwe na connection, kufanya kazi kwa bidii/juhudi na maarifa haijalishi upo home ama ugenini maana kwenye bidii ndipo unapokutana na connection sasa we kaa kama mfuko apo utegemee kutoboa bila kusahau uvumilivu na matumaini maana huijui Kesho yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.