Nahisi busara zitatumika kwa maslahi mapana ya taifa na vifungu vinavyolalamikiwa vitaondolewa halafu muswada utapelekwa Bungeni upya. Nimelipenda neno hili la 'maslahi mapana ya taifa'. Laiti tungelitumia neno hili katika maamuzi yote muhimu ya taifa. Tusingekua na matatizo haya tunayoyaona sasa
Kama unahisi anaweza kuwa mwenzi mwema katika maisha, just go for him. Kumbuka relationships grow with time. Hizo differences ktk mtizamo wa maisha zipo kwa watu wote but mwisho wa siku wanaishi na kufurahia life. Age sio kigezo pekee
Hivi hawa jamaa wa Kikosi cha Zima Moto kazi yao ni kuzima moto unapotokea tu? Hawawezi kufanya auditing ili kuona hali ya majengo na maeneo ya biashara na kutoa tahadhari ili kupunguza athari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.