Nahisi kuna kitu ambacho ni siri kubwa ya uumbaji wa Mungu kwenye miili yetu. Ila ntaendelea kufatilia nijue ukweli maana mimi si mwabudu mizimu, ni mcha Mungu lakini ndoto na ishara hzi za kimwili huwa zinanitokea. I must explore the truth.
kumbe! Muondoe saccos zenu kwenye mikoa ya joto maana watu hawawezi kuelewa unafiki wenu wa kikanda. Kumbe kenya, zimbabwe na burundi kuna baridi sana maana upinzani una nguvu! Teh teh!
eti uko simiyu! Uko simiyu kimwili ila roho ni ile ya kisaliti ya kuwasaliti watanzania kwa kuwashabikia mafisadi! Ikulu kwenu ni hadithi ya kufikirika.
Kuwa makini brother kwa yafuatayo: 1.Yawezekana amewahi kudanganywa na mpenzi wake Kwa kutowasiliana naye mara kwa mara au pengine rafiki yake kafanyiwa hivyo na hata uhusiano wao kuvunjika. Mtafiti pia amekulia familia gani ya uhuru, kupendwa au kunyanyapaliwa, ikiwa ni kunyanyapaliwa basi ujue...
teh teh ndivyo ilivyo. Kwa mfano unamtongoza mdada unayejua anapenda wanaume wenye usafiri au gari alafu unamweleza ukweli kuwa huna hata gari, teh si atakukata Kaaaah na kibuti puuuuh! Lakini ukiingia na swaga za gari la best yako kwa cku chache tu ulishamaliza kazi. Kauongo wanakapenda japo...
kule wameenda kuchukua majimbo tu baada ya kuona alama za kukatwa na Ccm, kama wasira alivyofanya miaka ya nyuma lakini baada ya hapo mbona alirudi mwenyewe.
poa ila ukale unaouzungumzia ndio laana inayowala japo taratibu mtakuja kujua mmekwisha, na wewe unayetetea mauaji ni muuaji pia mwenye fikra za ndio mwenyekiti, ikulu hamuingii mkiwa na laana ya damu ya chacha wangwe mlioimwaga. Subirini.
ndio ametumwa kama mlivyomtuma marya kumuua chacha wangwe, tambueni hamtadumu bila upanga kuwapitia tena ipo siku ile damu itawachanganya tu na kuwamaliza! Mafisadi wanaharakati na wauaji hamuwezi kuingia ikulu na laana ya kamanda wetu chacha Wangwe bado ipo juu yenu!
Mara slaa mara EL ila nyie wauaji wa chacha wangwe mjue ile damu itawachanganya na kuwaumiza tu hatakama sio leo. AUAYE KWA UPANGA ATAUAWA KWA UPANGA TU. Hata toba hamuipendi mnaendeleza ubabe wa kifisadi ndani ya chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.