mwarabu113
kama hujamtafuta cku 2 afu pengine hukutoa hata taarifa unataka akufurahie tuuu.... ishi na mwanamke kwa akili mkuu
Piga chini mkuu, tafuta mwingine maisha yaendelee....maisha yana vitu ving sana vya muhim zaid ya mapenz
Unazan wanapatkana harakaharaka tu?
Wadau,
Mpenzi wangu amekua mtu wa hasira sana saivu,anaweza nuna siku nzima asikutafute kwa jambo dogo tu,na hivi juzi tumeachana kwa kisa kidogo tu.
Nlikua busy kidogo kwa siku2 sikumtafuta kwenye simu na yeye hakunitafuta pia,siku ya 3 asubuhi nikamtext bebee nilichojibiwa unasemaje then yakafata majibu ya ovyo na hakutaka nimtafte tena.
Kumuulza sababu akanjbu kamuulze uliekua nae mpaka ukanisahau mimi kiukweli nikawa namshangaa tu, sasa wakuu hichi kisirani anatoa ap? Na mpka sasa kanuna na hataki hata nimtafute.
hawakosekani bwana
Ivi inakuwaje kidume ukae kimya ck 2/3 bila kumjulia hal mwenzio? Endapo umezoea kuchat nae kila ck then unaona kmy na mitandaon ye ni active member mda wote ntaacha kununa looooh! Hata km n mim cwez.
Unazan wanapatkana harakaharaka tu?
Kuwa makini brother kwa yafuatayo: 1.Yawezekana amewahi kudanganywa na mpenzi wake Kwa kutowasiliana naye mara kwa mara au pengine rafiki yake kafanyiwa hivyo na hata uhusiano wao kuvunjika. Mtafiti pia amekulia familia gani ya uhuru, kupendwa au kunyanyapaliwa, ikiwa ni kunyanyapaliwa basi ujue una kazi ya kumuonyesha upendo wa kujali sana ili asihisi kuyarudia aliyofanyiwa utotoni.
Kwani mlikubaliana ni wewe tu ndio uwe unamtafuta? Huyo ana mapenzi ya kitoto. Tafuta hela tu, Mapenzi yatakuja yenyewe