Kuna huu mwingine nao nimeutafuta sanaa bila mafanikio ni wa suma lee nafikiri unaimbwa "kama pesa zako zina kuzuzua kila umwonae wataka kumchukua, mapenzi si biashara emu tulia mapenzi maelewano moyo kuuchaguaa" mwenye nao tafadhali
Kunako pale EFM radio ndani ya kipindi cha sport HQ kunae huyu mtalaamu wa kuitwa dr machachali kabisa, dr panjua wa panjuaniiiii na kunako kule clouds fm the people station, kunae mtalaamu huyu anaitwa mbwiga mbweguke mkora wanyani kiboya mkia.
Wawili wote hawa ni kama wanaelekeana kazi zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.