Yaani huyo mshikaji Mimi sijamuelewa kabisa au anataka cheo nini , ya nini mmpangie MTU pesa yake, naisi waliopitisha sheria hii hawana nia nzuri na Rais JWT tutachukua nchi
Serikali hacha ifanye kazi yake , hao walanguzi na madalali walikuwa wanawanyonya wakulima tu , kama nei ilekezi ilikuwa imetolewa kwa nini wao wanunue chini ya being hiyo ata ningelikuwa Mimi ndo Rais at a kuwakamata ningewakamata , Dr John huko Sawa , kama kweli ilikuwa amelima kwa nini...
Endelea kufanya mapezi si ulipenda , kumkomesha mke wako endeleo ndo ulitaka hivyo , dawa hiyo ikiisha ,nguvu zako zitapungua Mara mbili , ukinywa tena zinazidi kukusimamishia kuliko hawamu ya kwanza, ikiisha tena wewe ni anisi mwezi mzima , cha msingi hacha kunywa utarudi hali yako ya kawaida .
Ni kufanya kazi tu kwa bidii, Mimi nina shida ya watu ambao ofisini wanajifanya miungu watu ,yani MTU unaenda ofisini MTU anajifanya kama ofisi alipewa na baba yake , basi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikie mzee mshauri huyo jamaa mke wake si mwaminifu kwa kuwa kama alikuwa hajapeleka mahari bado lakini akawa anamsumbua kwa kero za ndoa na bado kulikuwa na viashiria vya usaliti Leo hii, umepeleka mahari ndo kabisa hadi calls, SMS unaziona ,hacha ufara hachana naye ,aliye kwambia kwamba watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.