Recent content by Vicious Reckless Savage

  1. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Mashoga wafanye ushoga wao kwa ridhaa zao wenyewe ndani ya kuta 4 za nyumba zao. Wasiji promote na kujiachia in the public sphere. That's a big no!
  2. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Nani walikaa, kuhojiwa, kutafakari na kupitisha mkataba wowote wa kukubali ushoga kama moja wapo ya haki za msingi za binadamu? Maadili hayapitishwi na vikao wee mzee
  3. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Hata kauli yako "Gwajima is ignorant on this matter." ni ad hominem
  4. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Suala hapa ni freedom of speech ambayo hutafsiriwa tofauti katika kila jamii. Hakuna anayefuatilia mashoga wanafanya nini vyumbani mwao kama Dr Gwajima alivyosema hapo juu
  5. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Hata swali linaweza kuwa ad hominem
  6. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Unazungumza on a very abstract level ambayo haiendani na uhalisia wa maisha ya kila siku ya Mtanzania. Hata Marekani na nchi nyinigi zilizoendelea kuna uvunjaji mkubwa wa haki za msingi za binadamu kila kukicha kwa hiyo argument yako haina mashiko
  7. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Hiyo ni ad hominem ulivyo mnafiki :cool:
  8. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Hili ni suala la mmomonyoko wa maadili ya jamii ya kitanzania siyo kimataifa.
  9. V

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Hii siyo Phd thesis acha ushamba wewe na logical fallacies zako. Ni suala la common sense na maadili ya Kitanzania. Unatumia rungu kuua nzi wapi na wapi?
  10. V

    Je, Wanajeshi wa Tanzania Wanakufa kama Nzi huko Congo? Mbona Wananchi hatujulishwi

    Banyamulenge hawafiki hata laki moja lakini wanawagaragaza Wanajeshi wa taifa la milioni 70
  11. V

    Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    https://www.tiktok.com/@ambassado18/video/7608398171315752210
  12. V

    Kabudi akijitambulisha kwa Papa: "Nimesoma St. Augustine".

    Hakumaanisha kuwa kasoma shule/chuo chenye jina la St. Augustine. Amemaanisha yeye ni mfuatiliaji, muumini au mwanafuzi wa mafundisho/falsafa za St. Augustine.
  13. V

    PostGE2025 Kihongosi: Jaji Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo, tunakuheshimu, staafu vizuri

    Classic ad hominen: argument against the person. Badala ya kuchambua hoja anamshambulia Mtoa Hoja.
  14. V

    PostGE2025 Samia: Nimeliponya Taifa kwa kuanzisha Wizara ya Vijana na kuwaachia huru watuhumiwa wa kesi ya Uhaini

    Linakera sana hili dubwasha. Sijui linaishi dunia gani. Tamaa na ukatili uliyokithiri ndiyo sifa zake kuu.
Back
Top Bottom