Nani walikaa, kuhojiwa, kutafakari na kupitisha mkataba wowote wa kukubali ushoga kama moja wapo ya haki za msingi za binadamu? Maadili hayapitishwi na vikao wee mzee
Suala hapa ni freedom of speech ambayo hutafsiriwa tofauti katika kila jamii. Hakuna anayefuatilia mashoga wanafanya nini vyumbani mwao kama Dr Gwajima alivyosema hapo juu
Unazungumza on a very abstract level ambayo haiendani na uhalisia wa maisha ya kila siku ya Mtanzania. Hata Marekani na nchi nyinigi zilizoendelea kuna uvunjaji mkubwa wa haki za msingi za binadamu kila kukicha kwa hiyo argument yako haina mashiko
Hii siyo Phd thesis acha ushamba wewe na logical fallacies zako. Ni suala la common sense na maadili ya Kitanzania. Unatumia rungu kuua nzi wapi na wapi?
Hakumaanisha kuwa kasoma shule/chuo chenye jina la St. Augustine. Amemaanisha yeye ni mfuatiliaji, muumini au mwanafuzi wa mafundisho/falsafa za St. Augustine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.