Samia anajali familia na marafiki zake tu sio Tanzania!

Samia anajali familia na marafiki zake tu sio Tanzania!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,492
Reaction score
14,623
1. Angalieni safari ya Urusi kajaza ndugu zake na watoto. Hakuna hata kitu kimoja cha kunufaisha
2. Ni mkataba gani wa maana tumepewa au uwekezaji gani wa maana!!!
3. Yaani tukio kubwa eti ni kupewa PHD ya heshima!!!!

Haya mambo yote ni ya kufurahisha nafsi yake lakini manufaa kwa nchi hakuna
 
1. Angalieni safari ya Urusi kajaza ndugu zake na watoto. Hakuna hata kitu kimoja cha kunufaisha
2. Ni mkataba gani wa maana tumepewa au uwekezaji gani wa maana!!!
3. Yaani tukio kubwa eti ni kupewa PHD ya heshima!!!!

Haya mambo yote ni ya kufurahisha nafsi yake lakini manufaa kwa nchi hakuna
Je, jakaya na ukoo wake wamo? Huo ndo ubaya wa kutawaliwa na expert aka gabacholi toka zenj
 
1. Angalieni safari ya Urusi kajaza ndugu zake na watoto. Hakuna hata kitu kimoja cha kunufaisha
2. Ni mkataba gani wa maana tumepewa au uwekezaji gani wa maana!!!
3. Yaani tukio kubwa eti ni kupewa PHD ya heshima!!!!

Haya mambo yote ni ya kufurahisha nafsi yake lakini manufaa kwa nchi hakuna
Narudia, haters wa Samia mtajifungulia au kutokuwa jedhi njiani mwaka huu.
 
Ungesema sio Tanganyika, ule upande wa pili kule kwao anawajali ndugu zake vizuri tu.
 
Back
Top Bottom