Nina sim aina ya huawei ambayo inatumia lain ya tigo only kuna siku nilipeleka kwa fundi ili nipate huduma ya ku unlock ili itumie mitandao yote! Baada ya fundi uyo kushindwa kuitengeneza imekataa kusoma lain ya tigo na nikiweka lain ya tigo inatoa ujumbe huu kama kwenye hii picha apo...
Imei zake hazionekani vizur kwenye karatas yake ya imei namba na nili iflash baada ya kuanza kuwaka na kufeli kuwaka ikamaliza(ilikuwa ina sizi) kwa mpaka sasa sijui nifanyeje ili nipate imei namba zake
Nina sim aina ya tecno y3 baada ya kuanza tatizo la kuwaka na kuzima bila kumaliza nikaamua kui flash baada ya kui flash nikaja kugundua ile sticker ya imei number kuna baadh ya imei hazionekani,Naomba nisaidiwe jinsi ya kupata imei za sim yangu kama kuna njia nyingine.
Kuanzia Sakata la kutaja Watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya mpaka kinachodaiwa "Uvamizi wa kituo cha Clouds Media Gruoup"! RC Paul Makonda amekuwa gumzo kuu hapa Nchini kwa sasa ,kuanzia kwenye vyombo vya habari,mitaani na kwingineko!
Nikiwa hapa Kijijini kwangu Mwanduhitinje nimekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.