Recent content by vicent karumuna

  1. V

    Israel - Marekani: Ipi siri ya uhusiano wao usiochuja?

    Albert Einstein hakuunda moja kwa moja bomu la nyuklia. Hata hivyo, kazi yake katika nadharia ya uhusiano na equation yake maarufu, E=mc², ilileta msingi wa nadharia kuhusu uhusiano kati ya masi na nishati, ambayo ilikuwa muhimu kwa maendeleo ya silaha za nyuklia. Albert Einstein hakuunda moja...
  2. V

    Fahamu namna ya kuingia deep web & dark web

    UPX ndo hii yenye rangi ya blue,nyekundu,na kijani
  3. V

    Sisikii hamu ya kula na siumwi chochote, tiba ni nini?

    ni mwezi sasa nina tatizo la kutopata njaa kama ndugu yangu sijui ni dalili za nini.
  4. V

    GE2020 Nini mkakati wa CHADEMA na ACT-Wazalendo kulinda ushindi katika vituo vya kupigia kura?

    Hali ni tete, ugumu upo hapa,, ila ya Mungu mengi bhnaa, upinzani tuna Jambo letu na lazima litimie hapo October 28. Tuwe na subira tu
  5. V

    GE2020 Pemba: Maalim Seif azindua Kampeni rasmi katika Viwanja vya Tibirinzi

    Heko ACT- wazalendo!! Zanzibar na tz kwa ujumla Ni wakati wa mabadiliko Kama Kuna wakati ambao watu wana shauku kubwa ya kubadilika, basi Ni huu. " Tumechoka na ccm ".
  6. V

    Je kufanya mapenzi ni lazima kwenye mahusiano?

    asante kaka hata mm Nina wazo hilo kwann vijana wa Siku hizi wamekuwa na fikra potofu kwamba kufanya mapenzi ni lazima na wengine wanasem mtu asiyejihusisha na mapenzi hana akili timamu hivi ni kweli au imani potofu?
Back
Top Bottom