Recent content by Vhagar

  1. Vhagar

    Natafuta fibre cement roof sheet.

    Zipo ambazo ni asbestos free ila nadhani huenda kwa tanzania kiwanda hakuna.
  2. Vhagar

    Natafuta fibre cement roof sheet.

    Ohoo boss... Uhatari wake ni wakati wa utengenezaji au hata ikishakua imetumika.. naona zipo ambazo hazina hizo fibre hatari.
  3. Vhagar

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Kukaba bado ni kisanga kwenye fc 26
  4. Vhagar

    Natafuta fibre cement roof sheet.

    Hello JF NAhitaji aina hizo za bati . Nataka kuezekea nyumba ya hidden roof. Naziona mara nyingi kwenye majengo ya zamani. Naona imara na hayapati kutu. Anayefahamu nitapata wapi na bei zake pls msaada.. namba zangu 0625182788, WhatsApp, text, & normal calls.
  5. Vhagar

    Ili mwanamke akupende inabidi utumie mbinu hii

    Atakuacha... Akivumilia basi anachuma asepe. Kama pangu pakavu lazma akuache. Hawezi kukubali kua na baba wa familia ambaye hayuko tayari kua baba wa familia.
  6. Vhagar

    Mungu anisamehe, niliwahi kufanya mapenzi kanisani

    February hii.. nimekumiss embu nipm kwanza....
  7. Vhagar

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kocha kawaweka benchi james na cucurella kwa pamoja.😂
  8. Vhagar

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    12 (columns) 4 bedrooms 900 kwa 850
  9. Vhagar

    Ushauri na msaada naelekea kuwa addicted na kitimoto

    Me hata nile kila siku sawa tu. Halafu upishi unatofautiana nahisi kuna sehemu huku home nakulaga naona tamu kuliko kwingine kote.. Yaani nilikua Moro kule niliona hata hawajui kuitengeneza lost ya kitimoto . Shida ni gharama.. mlo mmoja tu unatumia pesa nyingi inakua hasara.
  10. Vhagar

    Ugumu zoezi la urejeshaji wa nauli za SGR

    Nimefata leo station Dar nimepewa na nimekuta watu wengi tu wanafata nauli zao hakuna hata usumbufu. Ni kutafuta tu jina lako linakua na namba. Unasign then unaenda dirishani ukiwa na ile namba uliyoikuta kwenye jina lako na kitambulisho chako unapewa nauli uliyokua umelipia.
  11. Vhagar

    Ugumu zoezi la urejeshaji wa nauli za SGR

    Kwanini msirudishe tu kupitia namba ya simu niliyolipia.. Sasa hivi mnaniambia nije station tena....
  12. Vhagar

    Zizini TV: Kwenye zizi la ng'ombe, Chui ndiye Mhubiri mkubwa wa "Amani na Utulivu"?

    Kiburi na dharau vikiungana mwisho hua mbaya sana. Matokeo ya kiburi na dharau ni kuanguka.
  13. Vhagar

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    Fc 26 now iko kwenye ofa hadi jan 5 2026. Now ni usd 28 tu. Zingine ni ni kama mortal kombat 1 inapatikana kwa usd 10 Na nyingine nyingi pia karibu game nyingi ziko kwenye ofa za sikukuu za mwisho wa mwaka. Faida ya kuwa na game Original hasa za mpira, inakuwezesha kucheza online na wengine...
Back
Top Bottom