Hello JF
NAhitaji aina hizo za bati . Nataka kuezekea nyumba ya hidden roof. Naziona mara nyingi kwenye majengo ya zamani. Naona imara na hayapati kutu.
Anayefahamu nitapata wapi na bei zake pls msaada.. namba zangu 0625182788, WhatsApp, text, & normal calls.
Atakuacha...
Akivumilia basi anachuma asepe.
Kama pangu pakavu lazma akuache.
Hawezi kukubali kua na baba wa familia ambaye hayuko tayari kua baba wa familia.
Me hata nile kila siku sawa tu.
Halafu upishi unatofautiana nahisi kuna sehemu huku home nakulaga naona tamu kuliko kwingine kote.. Yaani nilikua Moro kule niliona hata hawajui kuitengeneza lost ya kitimoto .
Shida ni gharama.. mlo mmoja tu unatumia pesa nyingi inakua hasara.
Nimefata leo station Dar nimepewa na nimekuta watu wengi tu wanafata nauli zao hakuna hata usumbufu.
Ni kutafuta tu jina lako linakua na namba. Unasign then unaenda dirishani ukiwa na ile namba uliyoikuta kwenye jina lako na kitambulisho chako unapewa nauli uliyokua umelipia.
Fc 26 now iko kwenye ofa hadi jan 5 2026.
Now ni usd 28 tu.
Zingine ni ni kama mortal kombat 1 inapatikana kwa usd 10
Na nyingine nyingi pia karibu game nyingi ziko kwenye ofa za sikukuu za mwisho wa mwaka.
Faida ya kuwa na game Original hasa za mpira, inakuwezesha kucheza online na wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.