Recent content by Veronica7598

  1. Veronica7598

    Shikamo ni kujipendekeza mnatukata stimu

    Itikia tu Mkuu, inaonekana huyo mtoto unaemfuata ni Mdogo sna tena mwanafunzi kuwa makin
  2. Veronica7598

    Mshikaji wangu kaoa Tanga anajuta

    Inamaana rafiki yko hataki wageni au!
  3. Veronica7598

    Wenye wanaume walokole tukutane hapa

    sio asbh tu, tukiamka na tukilala tufanya maombi.
  4. Veronica7598

    Wenye wanaume walokole tukutane hapa

    tena tupo smart SNA, tunajua kuvaa na kupendeza tuna mavazi ya heshima ila sio old model
  5. Veronica7598

    Wenye wanaume walokole tukutane hapa

    wale wanatimiza wajibu wao, Wanajua wapo dunian kwa ajili ya kazi gani.
  6. Veronica7598

    Wenye wanaume walokole tukutane hapa

    si kweli tena wanaishi maisha marefu sababu hawana stress wala wasiwasi maana tunajua, Kuishi kwetu ni Kristo na kufa ni faida
  7. Veronica7598

    Wenye wanaume walokole tukutane hapa

    Wote muwe na hofu ya Mungu, ndo mtayashinda majaribu
  8. Veronica7598

    Wenye wanaume walokole tukutane hapa

    wala sio kipato, changamoto kubwa tunazo kumbana nazo kutoka kwa ndugu zetu, wakija kwetu kututembelea wanashindwa kuendana na life style yetu. Nilipata mgeni Shemeji yangu ni anapenda music vibaya mno tukitoka kwenda kazini huku nyuma anafungulia mziki sauti kubwa mala singeli mala bongo...
  9. Veronica7598

    Nimemkuta Mpenzi wangu na vitu nisivyovielewa, naomba msaada wenu kuvielewa

    daaah pole sna kupendwa mpaka utumie mzizi jaman
  10. Veronica7598

    Wenye wanaume walokole tukutane hapa

    Aman iwe kwenu wapendwa, Leo nataka nizungumze na wanawake wenzangu ambao wameolewa na wanaume washika dini (walokole) sjui kwa waislam wanaitwaje. Binafsi namshukuru Mungu nimeolewa na mwanaume mshika dini tena mwenye hofu ya Mungu. Nimekua na maisha yenye furaha maana mimi na hubby wangu...
  11. Veronica7598

    Haya ndio yatakoyotokea mpenzi wako (KE) akienda chuo

    sio kweli, inategemea NTU Na NTU. mm nimesomeshwa na mume wangu miaka mitatu cjawah kuchepuka Chuo japo changamoto ni nyingi ila nilipambana. msitishe watu chuoni kila ntu naakili yke Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Veronica7598

    Social media na ndoa

    kwa mwanandoa anae jiheshimu, hawezi weka PC za ovyo mtandaoni. sasa ndugu na jamaa wakiona c watakuona unamatatizo. wanaoweka pc za kibinua makalio asilimia kubwa hawajaolewa hapo ndo wanatafuta Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Veronica7598

    Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

    jamaaan ngoja tu nisome comment Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom