Recent content by Verily Verily

  1. V

    Mbegu za kisasa ni ajenda ya kishetani na kiiluminati

    Kila nikisoma hili bandiko, nasema haya ni mafunuo ya kweli ya kiroho na yasiyo ya kibinadamu. Muda utaongea. Asante.
  2. V

    Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

    MHUBIRI 2:16 Maana hakuna kumbukumbu la milele la mwenye hekima, wala la mpumbavu; kwa sababu siku zijazo wote pia watakuwa wamekwisha kusahauliwa. Na mwenye hekima, jinsi gani anavyokufa sawasawa na mpumbavu!
  3. V

    Kiongozi huyu hana haki na uwezo kuzuia injili kwa kigezo cha wahubiri kutosomea theology, ya Mungu mwachie Mungu

    Uko sahihi kabisa. Uko sahihi kabisa ndugu Rabon. Shule za Teolojia ni Mafundisha yaliyo maagizo ya wanadamu (Mathayo 15:7-8). Lakini watakupinga sana tu. Lakini simamia kweli ya Yesu. Ukristo wa kweli hufundishwa na Kristo mwenyewe: YOHANA 6:45 Imeandikwa katika manabii, Na wote watakuwa...
  4. V

    Ningekuwa na karama ya kulaani ningelilaani Italia (Roma) kwa kusababisha usumbufu kati ya Myahudi na Muislam

    Mashambulizi na mapigo juu ya Yerusalemu na Uyahudi AD 67-73 yalikuwa tu ni mapatilizo (soma hapa chini Luka 21:21-22, angalia maneno kama "hasira juu ya taifa hili") ya kutimiza maneno ya Kristo baada wayahudi na waisraeli wengine kumkataa masihi mfalme wa amani. Warumi walitumiwa tu na Bwana...
  5. V

    Nabii wa Wasabato Mama White adai aliambiwa na malaika sabato ni amri ya kipekee kuliko zote ni muhuri wa Mungu na haikupigiliwa misumari msalabani

    Mkuu Uzalendo Nakupa kudo sana. Endelea kutuletea mafundisho na tafakari juu ya hii dini ya uongo ya Ellen G. White. Naona na wewe inakuudhi kama inavyoniudhi hasa kutokana na kuonekana kwa nje kama dini ya kweli huku ikiwa imebeba upinga Kristo wa kina cha juu kabisa. Niweke wazi nawapenda...
  6. V

    Nakwenda kwenye kifungo kigumu sana 2024 ila kitanisaidia sana.

    Daah hongera sana. Bwana akutie nguvu. Ni malengo mema. Unaweza usiyafanikishe yote lakini ni mwanzo na mweleko mwema. Tutafutane inbox maana tuko njia moja katika malengo hayo.
  7. V

    Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

    Ndio ujue uonevu na maumivu ya mme ambapo wote mme na mke wameajiriwa. Mshahara wa mme ni wa wote na mshahara wa mke ni kwake peke yake.
  8. V

    Mbingu ni kweli ipo na huu ni ushuhuda wangu binafsi

    Wakolosai 2:18 Mtu asiwanyang'anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili; Mathayo 24: 4-5 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye. 5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina...
  9. V

    Mi naona wajapani ndio binadamu walikamilika kuanzia maisha yao

    Ungalijua alacho nyuki usingalionja asali. Hakuna taifa la hovyo kama Japan tofauti na linavyopambwa pambwa kwa huruma za kupigwa nyuklia sawa sasa na Wairael wanavyoabudiwa kwa huruma ya kuuawa na Hitler. Yote hayo ni mipango ya "movers and shakers" wa dunia hii. Tafakari tu ndogo, jiulize...
  10. V

    Wakristo wasio Wasabato wanaruhusiwa kula paka, panya, kobe, kinyonga, kenge, kunguru, nyani, n.k?

    1 WAKORITHO 6:12 Kila kitu ni halali kwangu,”lakini si kila kitu kina faida. “Kila kitu ni halali kwangu,”lakini sitatawaliwa na cho chote.
  11. V

    Matrafiki wameanza tena kamata kamata

    Matrafiki wameachiliwa tena. Hali ya barabarini leo Jumatatu 5/9/2022 ni mbaya sana. Wamejaa kila barabara.
  12. V

    Matrafiki wameanza tena kamata kamata

    Hivi ni kweli suluhu ya uonevu wa matrafiki imekosekana kabisa? Maana na kilio cha kiongozi mkubwa kama Makamu wa CCM hakisikilizwi sasa.
  13. V

    Matrafiki wameanza tena kamata kamata

    Kuna haja ya kutengeneza Mswada was Sheria ya Mageuzi ya Utendaji wa Jeshi la Polisi Tanzania. CCM chini ya mzee Comrade Kinana Liangalie hili. Litawapa kukubalika na wananchi 2025 Lakini pia CDM ya Mbowe na Mnyika hii ni fursa ya kuamsha upya ushawishi. Vinginevyo tamko la Makamu Myenyekiti...
  14. V

    Matrafiki wameanza tena kamata kamata

    Hapo Arusha hali ikoje matrafiki wamepunguza fujo?
Back
Top Bottom