MHUBIRI 2:16
Maana hakuna kumbukumbu la milele la mwenye hekima, wala la mpumbavu; kwa sababu siku zijazo wote pia watakuwa wamekwisha kusahauliwa. Na mwenye hekima, jinsi gani anavyokufa sawasawa na mpumbavu!
Uko sahihi kabisa.
Uko sahihi kabisa ndugu Rabon. Shule za Teolojia ni Mafundisha yaliyo maagizo ya wanadamu (Mathayo 15:7-8).
Lakini watakupinga sana tu. Lakini simamia kweli ya Yesu.
Ukristo wa kweli hufundishwa na Kristo mwenyewe:
YOHANA 6:45
Imeandikwa katika manabii, Na wote watakuwa...
Mashambulizi na mapigo juu ya Yerusalemu na Uyahudi AD 67-73 yalikuwa tu ni mapatilizo (soma hapa chini Luka 21:21-22, angalia maneno kama "hasira juu ya taifa hili") ya kutimiza maneno ya Kristo baada wayahudi na waisraeli wengine kumkataa masihi mfalme wa amani. Warumi walitumiwa tu na Bwana...
Mkuu Uzalendo
Nakupa kudo sana. Endelea kutuletea mafundisho na tafakari juu ya hii dini ya uongo ya Ellen G. White.
Naona na wewe inakuudhi kama inavyoniudhi hasa kutokana na kuonekana kwa nje kama dini ya kweli huku ikiwa imebeba upinga Kristo wa kina cha juu kabisa.
Niweke wazi nawapenda...
Daah hongera sana. Bwana akutie nguvu. Ni malengo mema. Unaweza usiyafanikishe yote lakini ni mwanzo na mweleko mwema. Tutafutane inbox maana tuko njia moja katika malengo hayo.
Wakolosai 2:18 Mtu asiwanyang'anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;
Mathayo 24: 4-5 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina...
Ungalijua alacho nyuki usingalionja asali.
Hakuna taifa la hovyo kama Japan tofauti na linavyopambwa pambwa kwa huruma za kupigwa nyuklia sawa sasa na Wairael wanavyoabudiwa kwa huruma ya kuuawa na Hitler.
Yote hayo ni mipango ya "movers and shakers" wa dunia hii.
Tafakari tu ndogo, jiulize...
Kuna haja ya kutengeneza Mswada was Sheria ya Mageuzi ya Utendaji wa Jeshi la Polisi Tanzania.
CCM chini ya mzee Comrade Kinana
Liangalie hili. Litawapa kukubalika na wananchi 2025
Lakini pia CDM ya Mbowe na Mnyika hii ni fursa ya kuamsha upya ushawishi.
Vinginevyo tamko la Makamu Myenyekiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.