Recent content by venossah

  1. venossah

    JamiiForums Tanzania Wachezaji under 17, washangiliaji above 40! Upigaji tu ndiyo kitu tunaweza

    😅😅😅🤣
  2. venossah

    JamiiForums Tanzania UTEKAJI: Ujasiri wa Bodaboda Umeokoa Uhai wa DJumbe, Funzo: Ujasiri Wetu Wote kwa Pamoja Utaokoa Wengi. Bodaboda Wapewe Tuzo.

    Mnaotaka boda boda watambulike mna agenda zenu za siri. (Mmetumwa)
  3. venossah

    JamiiForums Tanzania Mama yangu yupo jela hong kong_Queen Darleen

    Akasaidiwe alikopeleka mboga... Maneno yake ya oct bado yanazunguka vichwani
  4. venossah

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

    Aliyeagiza watu wauwawe ni yule SHEITWANI RAJEEEM.
  5. venossah

    JamiiForums Tanzania Hali anayoipitia Mange kimambi kwasasa iwe funzo damu za watu zinamlilia tuache dhambi dhambi inaua.

    Mwanaume kuwa mbea mbea haipendezi Km hujui anachoumwa umeleta uzi wa nn?
  6. venossah

    JamiiForums Tanzania Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    NIlianza kupiga piga miguu na kugeuka geuka ...wakaja kuniuliza unashida gani? Nikasema nimechoka, nitoeni
  7. venossah

    JamiiForums Tanzania Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Anachoongea ni kweli...na ni hosp karibu zote TZ mashine used. Mi yalinishinda...niliingizwa kwenye hyo mashine ya MRI baada ya dk 30 nikaanza kusumbua wakanito.,
  8. venossah

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Jmn kama haupo vizuri kichwan kwenye huu uzi usichangie...mnakula za uso vibaya mno 🤣 Wacheni mihemko ya umarekan wa buza. MALCOM...Tuendee baba.
  9. venossah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yule mama mchungaji maarufu aliyekuwa akishauri kuhusu ndoa, hatimaye ndoa imemshinda

    Yaani hamueleweki..😅😅
Back
Top Bottom