Recent content by venonjay

  1. venonjay

    Dawa ya msaliti hii hapa, wala usiumize kichwa

    Hii ngumu coz ilishanitokea na nikapiga window chini ( nikaachana na demu wangu) ingawa iliniumiza kuachana naye na pia sikukurupuka kumwacha bali nilitulia mpaka akasahau dhambi yake kisha nikamwacha kwa surprise ili afeel pain kama nilivyokuwa nikijisikia.
Back
Top Bottom