Recent content by Venomous

  1. V

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Waraka mzito sana huo, natamani utokee maana ccm imeshatuchosha wengi!
  2. V

    Tabia za utawala ulioshindwa

    20.KURUHUSU WATU WA KUJA i.e MATAIFA YA NJE KUJITWALIA RASILIMALI ZA TAIFA NA KUFANYA MAAMUZI YA NCHI WATAKAVYO.
  3. V

    ESCROW: Majibu ya Prof Muhongo ni aibu ya mwaka kwa PAC na wasaka tonge

    acha uongo wewe, usidhani watu ni wapumbavu ww! huwa kuna msemo wa kiswahili "lisemwalo lipo na kama halipo basi laja" usidhani hao wanaojitetea ni wasafi noooo! hata kama ni wewe ungekuwa na tuhuma lazima ungekomaa ujisafishe hata kama unajua umechafuka coz ukikubali means umekubaliana na...
  4. V

    Mwenyekiti wa CCM Rorya akamatwa na Meno ya Tembo

    yaani hiki chama kimeshalaaniwa, wakae tu tu pembeni, kimekuwa cha kinafiki sana!
  5. V

    Pinda hafai tena kugombea urais !

    Ni kweli kabisa kashajikosesha sifa za kuwa kiongozi! Ni mnafiki sana avyojiita mtoto wa mkulima!
  6. V

    nnape nnauye ndo kaanza kuishiwa na hoja?

    nilimsikia jana huko mikoa ya kusini akiwa na kinana,kwa kweli huo ni unafiki wanafanya kwa watanzania,iweje nape aanze kuisemea cdm wakati ana yake ya kuzungumza kuihusu ccm? mbaya zaidi ni ile wanavyolalamika kuwa serikali haichukui hatua kwa watu wanaoshindwa kutimiza wajibu wao ilihali wao...
  7. V

    Ndani ya saa 12 zijazo Jaji Werema kujiuzulu kunusuru Serikali kuanguka

    hii serikali ya ccm ishaotuona cc watanzania ni wapumbavu sana, they have to step aside! tujaribu aina nyingine ya serikali tuone, CCM washatuchezea sana, wanakula hii nchi hadi ishakuwa kero,uozo mtupu! nashangaa anachofanya kinana na nape huko mikoani ni unafiki mtupu kwa watanzania, iweje...
  8. V

    Ndani ya saa 12 zijazo Jaji Werema kujiuzulu kunusuru Serikali kuanguka

    huo ni uhuni, hawatakiwi kuachia ngazi kabla ya kutajwa, kwanza kitu kiwasilishwe bungeni ijulikane nani waliohusika msumeno uwapitie!
  9. V

    Pinda amwaga mamillioni, zawachanganya wajumbe wa baraza kuu UVCCM taifa leo hii Dodoma

    Mmmh, kwa kweli viongozi wetu wanatutia hasira sana!
  10. V

    Kashfa ya kusafirisha meno ya tembo kwa ndege ya Rais wa China yapaswa kumuondoa Kikwete madarakani

    Kiukweli kama ni kweli, hii ni fedheha kubwa sana kwa Tanzania na viongozi waandamizi wa serikali, wanatakiwa wajibu hili suala na kama ukweli ukibainika hatua kali zichukuliwe, hata kama china wanatusaidia lakini sio kwa vitendo kama hivi
  11. V

    Kashfa ya kusafirisha meno ya tembo kwa ndege ya Rais wa China yapaswa kumuondoa Kikwete madarakani

    Kiukweli kama ni kweli, hii ni fedheha kubwa sana kwa Tanzania na viongozi waandamizi wa serikali, wanatakiwa wajibu hili suala na kama ukweli ukibainika hatua kali zichukuliwe, hata kama china wanatusaidia lakini sio kwa vitendo kama hivi.
  12. V

    Nimekata tamaa ya kumpata mwezi wa Maisha yangu

    Usiogope, Subira yavuta Heri!
  13. V

    Ridhiwani achafua hali ya hewa Times FM

    :A S thumbs_down:
Back
Top Bottom