Hawa watu kweli wapo na wanakaribia kuanza kuwaita watu mie binafsi nimeishawahi kufika mpk ofisini kwao lakin kuhusu scale zao sio mbaya sana we subiria tu wakikuita ndo mtakubaliana.
Kaka si unajua tena mkuu wa chama nae elimu ni ndogo then awaongoze watu wenye shahada zao sijawahi ona duniani.Babu yetu nae ameshikwa masikio mpaka hurma.
Ukweli kuhusu Zitto na Mbowe mnaujua,Washabiki wa Mbowe acheni ukibaraka jengeni taifa kwa kuwa wazalendo pesa ndio zinawafanya muwe hivyo?Zitto is innocent na hilo mnalijua.
Chama makini wapi?Watu hawataki kuachia madaraka na huku walikubaliana hivyo mwaka 2009 tena wakasign kbs kuwa 2014 utagombea we uenyekiti,matokeo yake uenyekiti umekuwa mtamu na matokeo yake anatengeneza matabaka ndani ya chama ili kuwagawa watu ili kumchukia zzk na kumtengenezea mazingira...
Si bora Dk Slaa anazungukia ndani ya nchi yake kuwaelimisha wa Tz kuliko mzee wa bagamy?Tuwe wazalendo kwa wale wanaosubutu hata kujitolea kutoa elimu ya uraia?Nchi imefika pabaya jmn amkeni watz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.