Recent content by Vendetta

  1. V

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    Hawa watu kweli wapo na wanakaribia kuanza kuwaita watu mie binafsi nimeishawahi kufika mpk ofisini kwao lakin kuhusu scale zao sio mbaya sana we subiria tu wakikuita ndo mtakubaliana.
  2. V

    CHADEMA yaitupa kapuni Rufaa ya Zitto

    Kaka si unajua tena mkuu wa chama nae elimu ni ndogo then awaongoze watu wenye shahada zao sijawahi ona duniani.Babu yetu nae ameshikwa masikio mpaka hurma.
  3. V

    CHADEMA yaitupa kapuni Rufaa ya Zitto

    Ukweli kuhusu Zitto na Mbowe mnaujua,Washabiki wa Mbowe acheni ukibaraka jengeni taifa kwa kuwa wazalendo pesa ndio zinawafanya muwe hivyo?Zitto is innocent na hilo mnalijua.
  4. V

    CHADEMA yaitupa kapuni Rufaa ya Zitto

    Chama makini wapi?Watu hawataki kuachia madaraka na huku walikubaliana hivyo mwaka 2009 tena wakasign kbs kuwa 2014 utagombea we uenyekiti,matokeo yake uenyekiti umekuwa mtamu na matokeo yake anatengeneza matabaka ndani ya chama ili kuwagawa watu ili kumchukia zzk na kumtengenezea mazingira...
  5. V

    JK usiingizwe mkenge, Muswada huu ni majanga

    Hapa rais atumie busara ya hali ya juu ili alinusuru hili taifa kuingia kwnye machafuko.
  6. V

    Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

    Mwanzo wa kuanguka kwa EAC huo.
  7. V

    Wilbrod Slaa yupo Ifakara leo

    Si bora Dk Slaa anazungukia ndani ya nchi yake kuwaelimisha wa Tz kuliko mzee wa bagamy?Tuwe wazalendo kwa wale wanaosubutu hata kujitolea kutoa elimu ya uraia?Nchi imefika pabaya jmn amkeni watz.
  8. V

    Pinda ndani ya jiji la Mwanza mgogoro wa Ilemela

    Mambo ya nchi hii bwana,kwani huyo matata si alikuwa chadema?akaleta ujuaji alafu leo analeta fujo atapotea kwenye siasa kwa sababu ya unafiki wake.
Back
Top Bottom