Acha kabisa kaka, nashangaa sana watu kubeza ilhali kila mtu ana njia yake ya kupata mwenza.
Iwe kazini, nyumbani, mtaani, kanisani, masikitini, mtandaoni kama mimi yaani popote.
Ila aloo napokea kashfa za aina mbalimbali.
Ndio kimbilio lenu girls, mkipewa jibu sahihi mnaita "mipasho".
Umecatch feelings wewe mkuu, am normal.
And Yes, nakujibu vile unakuja.
Sina multiple ID, kama unahisi ninayo nyingine waombe mods waiunganishe.
Sperm donar huhitaji kujua historia yake.??
Kuna namna nyingi za kupata mwenza, kama nilivyokwisha kuelimisha hapo juu. Si ajabu hata hao unaoenda kuwaambia wakutaftie wao hawakutafutiwa.
Kama ulichakura chakura na ukapata wa kukupa mimba bila shaka hata mimi nitapata.
Ninaetaka mke ni mimi...
Binafsi kwa hilo la kunizaa tu nampa heshima, mkuu nature haitafsiriwi hivyo kwa mawazo yako.
Unayosema nature hapa Tz ukienda mahali pengine ni jambo la kawaida na haliwaumizi kichwa.
Hivyo hizo unaita "nature" iko hivi ama vile ni jamii uliyokulia na inayokuzunguka ndio iko hivyo.
Kuna...
Asante kwa ushauri wako, zama zimebadilika, zamani mtu mpaka anafika umri wa kuoa/kuolewa bado anaishi nyumbani ila sasa mtoto akifika umri fulani anaanza kucheza na shule na/au utafutaji mpaka umri wa kuoa au kuolewa, hivyo jamii yake inakua haimjui kama anavyojifahamu yeye.
Kuna uzi wako pia...
Inaumiza kweli ila mwisho siku yakupasa uzoee na uheshimu maamuzi yake kama ambavyo yeye anaheshimu faragha zako.
Wengine ni tabia zao, yaani kabla hujazaliwa yeye yuko hivyo, kuna kina mama walevi, wezi, waongo, wachawi na tabia nyingi mbaya ila bado haibadili wao kua kina mama, ndio ni mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.