JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Nahitaji mwenza
Acha kabisa kaka, nashangaa sana watu kubeza ilhali kila mtu ana njia yake ya kupata mwenza.
Iwe kazini, nyumbani, mtaani, kanisani, masikitini, mtandaoni kama mimi yaani popote.
Ila aloo napokea kashfa za aina mbalimbali.