Recent content by venancehamza

  1. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Achana nae huyo, she's guilty of what she's doing. Ni msagaji na anasema kaolewa
  2. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Kuna kitu hakipo sawa kwako. Asante kwa kushiriki, nimepokea maoni yako.
  3. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Acha kabisa kaka, nashangaa sana watu kubeza ilhali kila mtu ana njia yake ya kupata mwenza. Iwe kazini, nyumbani, mtaani, kanisani, masikitini, mtandaoni kama mimi yaani popote. Ila aloo napokea kashfa za aina mbalimbali.
  4. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Kaka pamoja na hicho kitengo kuna ndgu zako wanauliza kama kuna nafasi huku. Hakika kimfaacho mtu chake mkuu 😂😂
  5. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Mkuu nimepost, wewe ndo umekuja kureply, napokea ushauri wako but still unaniandama. Shida nini? Unataka kuolewa na una mtoto??
  6. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Seran na Napita mkuu.
  7. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Asante mkuu.
  8. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Ndio kimbilio lenu girls, mkipewa jibu sahihi mnaita "mipasho". Umecatch feelings wewe mkuu, am normal. And Yes, nakujibu vile unakuja. Sina multiple ID, kama unahisi ninayo nyingine waombe mods waiunganishe.
  9. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Watu humu hawaelewi kiongozi, wao wanadhani ukiandika unahitaji mke basi wanadhani huwezi tongoza watoto wa elfu 2 😂😂.
  10. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Sperm donar huhitaji kujua historia yake.?? Kuna namna nyingi za kupata mwenza, kama nilivyokwisha kuelimisha hapo juu. Si ajabu hata hao unaoenda kuwaambia wakutaftie wao hawakutafutiwa. Kama ulichakura chakura na ukapata wa kukupa mimba bila shaka hata mimi nitapata. Ninaetaka mke ni mimi...
  11. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Kama unahitaji mrejesho, usijali utaupata kiongozi.
  12. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Binafsi kwa hilo la kunizaa tu nampa heshima, mkuu nature haitafsiriwi hivyo kwa mawazo yako. Unayosema nature hapa Tz ukienda mahali pengine ni jambo la kawaida na haliwaumizi kichwa. Hivyo hizo unaita "nature" iko hivi ama vile ni jamii uliyokulia na inayokuzunguka ndio iko hivyo. Kuna...
  13. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwenza

    Asante kwa ushauri wako, zama zimebadilika, zamani mtu mpaka anafika umri wa kuoa/kuolewa bado anaishi nyumbani ila sasa mtoto akifika umri fulani anaanza kucheza na shule na/au utafutaji mpaka umri wa kuoa au kuolewa, hivyo jamii yake inakua haimjui kama anavyojifahamu yeye. Kuna uzi wako pia...
  14. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wamama funga kazi; mnajua kuwakomesha watoto wenu wakiume kwa mnavyodate na vijana wadogo wa rika la watoto wenu

    Inaumiza kweli ila mwisho siku yakupasa uzoee na uheshimu maamuzi yake kama ambavyo yeye anaheshimu faragha zako. Wengine ni tabia zao, yaani kabla hujazaliwa yeye yuko hivyo, kuna kina mama walevi, wezi, waongo, wachawi na tabia nyingi mbaya ila bado haibadili wao kua kina mama, ndio ni mama...
  15. V

    JamiiForums Tanzania Naomba kazi St Peters. Vigezo vyangu ni hivi hapa

    Kaka sema tu "Gentleman GPA" inasound vizuri zaidi.
Back
Top Bottom