Kwema
Kuna changamoto nimeipata kwangu ni mpya na sielewi niitatue vipi au niende wapi ama napaswa kusubiri.
Ni kuhusu malipo ya mshahara wangu, wenzangu walilipwa mapema kabisa mwezi huu. Mimi sikulipwa, nikafatilia nikaja kujua kua walikosea account ya malipo, kwenye account number yangu...
Acha kabisa kaka, nashangaa sana watu kubeza ilhali kila mtu ana njia yake ya kupata mwenza.
Iwe kazini, nyumbani, mtaani, kanisani, masikitini, mtandaoni kama mimi yaani popote.
Ila aloo napokea kashfa za aina mbalimbali.
Ndio kimbilio lenu girls, mkipewa jibu sahihi mnaita "mipasho".
Umecatch feelings wewe mkuu, am normal.
And Yes, nakujibu vile unakuja.
Sina multiple ID, kama unahisi ninayo nyingine waombe mods waiunganishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.