Wenye makampuni ya mabusi wanunue maeneo hapo wajenge stendi zao ili kuepusha usumbufu na sio lazima mabusi yote yaishie nata yanaweza kwenda hadi mabatini ili kusudi msongamano upungue
Dodoma na arusha wanausafiri mbaya sana ,hususani arusha vifodi vyao vimechoka sana
Jiji ambalo lina usafiri wa public mzuri ni mbeya costa zao ni safi na speech za makondata ni nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.