rahisi tu hat kama kuna science na tech umuhimu wa learning theories kama behaviorist nk upo tu Ila sayansi inasaidia theory kufanya kazi .hapo ongelea mchango wa kila theory ktk kujifunza.
ninacho kipya kabisa hakijatumika ,nilinunua dar kumbe ni tofauti na vitumikavyo moro hivo nikanunua kingine .hiki kinashika tanga ,dar,arusha,mwz na dom kwenye maelezo inaonyesha hivo ni pm au nipe namba yako
Waungwana naombeni msaada mdogowangu kachaguliwa kozi hii vipi ndugu zangu katika maisha ya kibongo anaweza ikamfaa,sina maarifa kuhusu kozi za eng. please.
Kazi zake zipo katika mashule ya watoto wenye mahitaji maalum karibu katika kanda zote za tz,uhakika wa ajira upo kama ilivyo kawa walimu wengine,field huwanywa katika shule hizo hizo ili uwezejua mazingira halisi ya kazi ikiwa ni pamoja na changamoto zilizopo.MWISHO Honera kwa kuchaguliwa kozi...
Suala la imani hutatuliwa kwa busara tu ,kuna vyuo vingi ambavyo vinawanafunzi wa kisabato lakini matatizo hayajitokezi mi ningeshauri chuo kiongozwe la roho wa Mungu na busara itumike kama baadhi ya vyuo ambavyo vinatoa hata room /vyumba kwa wanafunzi wa madhehebu mbali mbali kuabudu.ASANTENI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.