Members mimi huwa najiuliza kwanini wanawake waliofanikiwa kimaisha kwamaana wana pesa za kuendesha maisha yao, wanawake maarufu(aidha kisiasa,kimitindo au kisanaaa) huwa idadi kubwa hawaolewi? Tusaidiane mawazo maana wote tunaishi katika jamii na pasina shaka tunalishuhudia swala hili! Mawazo...
Mwandishi unasafiria nyota tu! Vimbeni vichwa na udsm yenu wakati watu kutoka hivyo vyuo unavyosema hamna kitu ndio wanapeta kwenye usaili wa kazi kwa sasa! Kalagabaho na umwamba ule wa kizamani kuona mwamba kusoma pcm!!! Vyuo havina mantiki lengo la kila mwanachuo ni kuajiriwa au kujiajili tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.