Daaaah kaka nimekuelewa sana ila tatizo langu JavaScript naiona ngumu hivyo hata nikisoma siielewi na lugha yenyewe ndo kabisaaa tofauti na nilivyokuwa nikijifunza HTML ilikuwa simple sanaaaa...
Msaada wako Tafadhali..
Kaka ahsante kwa ushauri wako,,, lakini kiukweli ni kwanini vijana wa jinsia zote wanakuwa na Tamaa yaani hawardhiki na mwanamke au mwanaume mmoja
Ahsante sana kaka kwa ushauri Wako,,🙏🙏🙏🙏
Lakini ni kwanini vijana wengi wa jinsia zote wanakuwa na tamaa yaani wanakuwa na wapenzi zaidi ya mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.