kulingana na swali la mtoa hoja, mpaka sasa kati ya hotuba zote mtangaza nia pekee ambaye ukiweka ushabiki pembeni na kusikiliza point baada ya point Prof. Muhongo pekee ndo alieongelea maswala yote yanayotatiza nchi kwa facts na kufafanua njia ambazo zinatekelezeka katika kujikwamua.....Pia...
binafsi nlifanya hyo test, ilikua fair enough kwa graduate ambae amejijenga vzuri kulingana na soko la ajira walau afanye 3/4 ya maswali....mfano section ya kwanza ambayo ni english ni kias cha sekunde 10 kupata jibu,section ya operation napo pia fasta huku unasave tym for math qstnz.. Kwahyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.