Recent content by VanGyan

  1. VanGyan

    Ukweli wa heri: Tundu A. M. Lissu hana mfano Bunge lile wala hili

    Kiukweli hakuna km Tundu Lisu ni kiboko anajua kila kitu
  2. VanGyan

    Umaarufu wa Lissu Kupotea kwa Kasi: Ni Kutokana na Umahiri wa Naibu Spika, Dr Tulia

    Upinzani haujaingia bungeni kubishana km unataka kubishana nenda kwa Asha Mashauzi....... Kajipange upya uje na mada yenye mashiko kwa hapo umechemsha sn Tulia katetemeshwa na Ester itakuwa Lisu
  3. VanGyan

    Masanja kapata kura 19 kati ya 1193 huko Ludewa, ameshauriwa awekeze kwenye Komedi

    Akaigize ubunge co kiivyooo una wenyewe
  4. VanGyan

    Pole sana DC Makonda; Wabunge wote UKAWA, Halmashauri UKAWA, Meya UKAWA

    Sioni kazi zao ni zp wanazifanya ni bora awatoe hawana kazi
  5. VanGyan

    Jeshi la polisi lazingira kituo cha sheria na haki za binadamu, lakamata watumishi

    Hakuna haki km tunataka haki twende mbinguni
  6. VanGyan

    UKAWA na watanzania, hii haijakaa vema kuhusu msiba wa Emanueli Makaidi

    Mawazo mgando hayo wakati nae atakuwepo msibani au ww ndo umeishiwa charge kajipange upya
  7. VanGyan

    UKAWA na watanzania, hii haijakaa vema kuhusu msiba wa Emanueli Makaidi

    kesho ni cku ambayo UKAWA imeitenga hakuna kupiga kampeni kuanzia diwani mpaka Mh President Lowassa ni cku muhimu kwa mtu muhimu Makaidi R. I. p kila kitu kinaenda kwa mipangilio co kukurupuka....... #mabadiliko2015 #najitambua2015 #ccmout #torokauje
  8. VanGyan

    Matokeo ya uchaguzi: Mgawanyo wa kura mikoani

    Kagera iko UKAWA
  9. VanGyan

    Nimeshangazwa sana na kauli za Mbowe na Anna Mghwira; Ni za kumfagilia njia John Magufuli!

    Kwani sheria inasemaje jaman mbona ipo wazi acheni kupotosha watu km hujui sheria kaa pembeni but kulinda kura ni jambo la msingi
  10. VanGyan

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Ww ndo Shetani hakuna Shetani zaidi yako
  11. VanGyan

    Taifa Stars Vs Malawi

    Saa 10:30 jioni naitakia Staz ushindi wa 3_0
  12. VanGyan

    Slaa na Zitto jukwaa moja?

    Wameishafeli hao
  13. VanGyan

    CCM yatangaza watu wasio ruhusiwa kurekodi au kupiga picha kwenye mikutano yao

    Wataelewa tu 25october #najitambua2015 #mabadiliko2015
Back
Top Bottom