Recent content by vangward

  1. V

    Siku kuu ipoje kwako

    unataka Nini?
  2. V

    Siku kuu ipoje kwako

    hapana nimuhimu kujua unasumbuliwa na Nini mapema kuliko kupuuzia sawa rafiki?
  3. V

    Siku kuu ipoje kwako

    dah pole.natamani ningejua ulipo nije kukupeleka hata Sasa hivi
  4. V

    Siku kuu ipoje kwako

    inabidi nikuchangie matibabu sasa.kwanza umeenda kupima unasumbuliwa na Nini?
  5. V

    Siku kuu ipoje kwako

    mh mgonjwa jeuri wewe😅😅
  6. V

    Siku kuu ipoje kwako

    jinsia yako ili tuone tunakusev vipi nduguyetu?
  7. V

    Hivi ni mimi ninayekula chakula kwa Speed au nyie Wenzangu mnawezaje kutumia nusu saa kwenye kula tu?

    nilienda kwa blaza wanae wakanipa ugali aisee dakika tano tuu mtoto anatoka anashangaa ule ugali haupo😅😅Hadi nikajistukia shemeji atanihisije Mana waondio kwanza walikuwa wanaendelea hata Kati hawajafika. I
  8. V

    Nimeamini mjini akili tu

    😅😅😅unajikuta mjanja sanaee?
  9. V

    Nimeamini mjini akili tu

    sawa nasisi tupo hukuhuku karibu Sana.
  10. V

    Nimeamini mjini akili tu

    mods free charenger hana baya anawafichua wezi humu.
  11. V

    Nimeamini mjini akili tu

    chalenger amepigwa ban?umemlipoti?😅🤣😄😂
  12. V

    Mchekeshaji bora Tanzania kwa sasa

    huu Mwili unauchezea Kaka ungebeba kiloba Cha sementi ungeuza. kwenye mabega unaweka vunywaji vya jumla nihela kaka. niushauri wangu tuu.
Back
Top Bottom