Recent content by van_kassim

  1. V

    JamiiForums Tanzania Gaming Desktop For Sale

    Fifa 20 ya pc naipataje?
  2. V

    JamiiForums Tanzania Yajue maradhi yanayokusumbua kiroho! (Jijue kama umelogwa)

    Io aina ya sita ya maradhi tiba yake inakuaje mkuu
  3. V

    JamiiForums Tanzania Umesoma vitabu gani mwaka 2018?

    Msaada wa kukipata cha pdf
  4. V

    JamiiForums Tanzania Je unamjua mtu wa kwanza aliyegundua simu ?

    When Alexander Graham Bell invented the telephone he had 3 missed calls from Zlatan.
  5. V

    JamiiForums Tanzania Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

    Kama unaamini kufanikiwa kimaisha ni kuwa na magari hela na nyumba hapo umefel na ndio wanaokufa kwa depression wenye izo mindset "I think everybody should get rich and famous and do everything they ever dreamed of so they can see that it's not the answer" jim carrey
  6. V

    JamiiForums Tanzania Masada wa kuunlock WiFi rooter

    Nina WiFi rooter e5573 ya tigo nimejaribu kuiflash Kwa firmware inaleta error 19 anaejua kuziunlock Kwa njia nyengine msaada
  7. V

    JamiiForums Tanzania Je, mitume na manabii waliopita kabla ya yesu na Muhammad walikuwa dini gani?

    basi yesu pia alikua msanii maana accrdng to bible alikua anaingia kwenye sinagogi katafute maana ya sinagogi afu uje hapa pia kabla ya kuabudu alikua anapaka maji kwenye kichwa chake mikono na miguu yke huo mafundi tunauita udhuu achana na hayo yote ujiulize alikua anamuabudu nani km yy ni mungu
  8. V

    JamiiForums Tanzania Nani Comedian/Mchekeshaji mzuri duniani?

    bill cosby the guy is a genius... cosby show edie murphy angalia delirious na raw chris rock rich pryor huyu jamaa shida
  9. V

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa Diamond Platinumz wafikia Billion 8.6 za Kitanzania

    4 milion $ unataka kusema diamond ana pesa kuliko tyga? ni swali tu nimeulza nataka kujua so kwa ubaya
  10. V

    JamiiForums Tanzania Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

    mnaongea na wa tanzania tumieni kiswahili ujumbe ufike sehemu stahili
  11. V

    JamiiForums Tanzania Diddy aongoza orodha ya Forbes ya wana hip hop watano wenye mkwanja zaidi

    afu dewj yupo tz basi
  12. V

    JamiiForums Tanzania Diddy aongoza orodha ya Forbes ya wana hip hop watano wenye mkwanja zaidi

    afu dewj yupo tz basi
  13. V

    JamiiForums Tanzania What is the best evidence for evolution?

    hamna evidence coz mwenyewe darwin alisema kua hawez kuprov aliyoyasema kwake ni theory tu
  14. V

    JamiiForums Tanzania Anavuma sana kwenye magazeti ya udaku udaku,na kununua tuzo lakini live jukwaani ni 0%

    ivi mtu ananunua tunzo na zile likes kule youtube ananunua pia?
  15. V

    JamiiForums Tanzania Kupatwa kwa jua [Solar eclipse] - swali

    ndo mana huwa unauona mwezi katika siku 28 vipande vipande, huuoni sku zote upo full circle kutokana na position ya mwezi na dunia from sun, ikitokea eclipse mwezi unakua na postion ambayo siku ile hautakiwi uwepo
Back
Top Bottom