Kama unaamini kufanikiwa kimaisha ni kuwa na magari hela na nyumba hapo umefel na ndio wanaokufa kwa depression wenye izo mindset "I think everybody should get rich and famous and do everything they ever dreamed of so they can see that it's not the answer" jim carrey
basi yesu pia alikua msanii maana accrdng to bible alikua anaingia kwenye sinagogi katafute maana ya sinagogi afu uje hapa pia kabla ya kuabudu alikua anapaka maji kwenye kichwa chake mikono na miguu yke huo mafundi tunauita udhuu achana na hayo yote ujiulize alikua anamuabudu nani km yy ni mungu
ndo mana huwa unauona mwezi katika siku 28 vipande vipande, huuoni sku zote upo full circle kutokana na position ya mwezi na dunia from sun, ikitokea eclipse mwezi unakua na postion ambayo siku ile hautakiwi uwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.