Recent content by van penga

  1. V

    Vipele usoni...

    tsh ngapi aandae
  2. V

    Vipele usoni...

    hizo product zote 3 ni kama TSH NGAPI mtu aandae?
  3. V

    Msaada wa ushauri wa kisheria kazini

    nami nahitaji msaada wa kisheria za kazi...mtaalam ani pm tufanye kazi niko moshi
  4. V

    Msaada wa ushauri wa kisheria kazini

    habari wanasheria...nahitaji msaada wa kisheria kazini...mwanasheria mzuri eneo hili ani pm tufanye kazi..niko moshi
  5. V

    msaada wa kisheria katika kuacha kazi

    habari wanasheria...naombeni msaada wa ushauri katika hali hii....mimi ni mtumishi niliyepanda daraja kazini miezi mi 3 iliyopita lakini bado sijawahi kupata mshahara mpya ninapata ule ule wa cheo cha chini..sasa nimepata kazi mpya nje ya eneo langu na ninahitaji kuacha kwa masaa 24...nikipiga...
  6. V

    msaada wadau

    Receiver/decoder yangu haina av za kuunganisha na subwoofer nafanyaje niunge subwoofer with receiver/ decoder
  7. V

    Maoni Yako: Laptop gani bora kuliko nyingine?

    sorry,OFF TOPIC cz nmeshndwa kusaidiwa kwenye thread yangu...nimejaribu kuunganisha laptop yangu kwenye projector kutumia cable ya VGA nipate display kwenye projector nimeshndwa...kuna kitu kingne nachotakiwa kufanya? msaada wadau
  8. V

    Programmes hazifunguki

    nili uninstall mozilla, antivirus, kwa sasa inapiga poa
  9. V

    msaada jinsi ya kuunganisha laptop kwenye projector

    habari wataalamu...nimejaribu kuunganisha laptop yangu kwenye projector kutumia cable ya VGA nipate display kwenye projector nimeshndwa...kuna kitu kingne nachotakiwa kufanya? msaada wadau
  10. V

    Programmes hazifunguki

    hahaha..ila nmesolve wazee asanteni hasa mdau wa kwanza
Back
Top Bottom