habari wanasheria...naombeni msaada wa ushauri katika hali hii....mimi ni mtumishi niliyepanda daraja kazini miezi mi 3 iliyopita lakini bado sijawahi kupata mshahara mpya ninapata ule ule wa cheo cha chini..sasa nimepata kazi mpya nje ya eneo langu na ninahitaji kuacha kwa masaa 24...nikipiga...
sorry,OFF TOPIC cz nmeshndwa kusaidiwa kwenye thread yangu...nimejaribu kuunganisha laptop yangu kwenye projector kutumia cable ya VGA nipate display kwenye projector nimeshndwa...kuna kitu kingne nachotakiwa kufanya? msaada wadau
habari wataalamu...nimejaribu kuunganisha laptop yangu kwenye projector kutumia cable ya VGA nipate display kwenye projector nimeshndwa...kuna kitu kingne nachotakiwa kufanya? msaada wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.