Ukishalipia kodi TRA, unatakiwa pia kulipa kwa kampuni ya uwakala wa meli iliyokusafirishia gari yako wanaita Delivery Order Fees inarange kati ya US$70-US$120, pia utalipa gharama za bandari wanaita port charges hii inategemea ukubwa wa gari kwa saloon ni kati ya 250,000 mpaka 500,000, pia...
Mimi hapa sikubaliani na hizo hoja, kiwango cha kodi kiko wazi wala hakuna kificho tena unaangalia kwenye mtandao wa TRA moja kwa moja kabla hata hujaagiza gari, shida inakua moja, TRA wana Motorvehicle data base price kwa magari karibu yote, shida iko moja, kama gari yako customs value kwenye...
Dah! ni kweli kabisa mimi mwenyewe imebidi nihangaike kivyangu, baada ya kukosa right guys, na nimefungua my own company, in a long run I will be someone, even getting manpower ni shida, people are not trustful nor hard working, guys we have a long way to go!!
nawashukuru wote kwa ushirikiano na ushauri, nimepata msaada mkubwa sana, kupitia mitandao ya kijamii, nimeunganishwa na watu ambao kwa kweli ni msaada mkubwa sana kwangu kwenye shughuli ambazo nataka kuzifanya shambani, mungu awabariki.
Wanajanvi habari zenu, nina ndugu yangu anataka kuanzisha kilimo cha kisasa cha mboga mboga na matunda hasa mapapai, ameshaanza kuchimba kisima kirefu kwa ajili ya umwagiliaji, swali langu ni kuomba kama kuna mwana janvi yeyote ambaye anafahamu soko katika nchi ya comoro likoje kwa uzoefu, kwani...
Bandarini kunahitajika marekebisho ya kina kuhusu uongozi mzima na watendaji zaidi ya 50% hawako competent, usishangae manager wa bandari (wharf) hajui maana na aina ya misamaa ya kodi? this is a shame!!! meneja haelewi anasababisha ucheleweshaji wa mizigo kwa uzembe halafu tunasema tuna watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.