MADA MOTO Kupungua kwa Mizigo Bandarini Nani alaumiwe? 08.04.2016
Source: Channel Ten youtube
Source: Channel Ten youtube
- Hakuna Marketing ya Bandari ya Dar Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia , Congo DRC . Bandari Salama (DSM) inadhani bila ''promo'' mambo yatakuwa sawa kwa vile nchi zingine kama Zambia, Burundi, Rwanda, Mashariki ya Congo DRC, Zimbabwe ''hawana jinsi watakuja tu Dsm wanasahau kuna Bandari za Beira, Walvis Bay, Durban n.k
- Wadau mbalimbali wa Bandari wanawekwa mbali na Mamlaka ya Bandari wadau hao ni TAZARA, RELI ya Kati, Wasafirishaji, Shipping agents, Mkemia wa serikali
- Mombasa wanapakuwa tani million 9 kwa mwaka wakati Dar-es-Salaam wanapakuwa tani 1.5 Milioni (on-transit/mizigo kwenda nchi jirani) kwa mwaka pia.
- Mzigo unatolewa ndani ya siku tatu toka kupakuliwa kwenye meli Mombasa wakati Bandari ya Dar-es-Salaam inachukuwa siku 9 mpaka 12 mzigo kutoka geti la bandari ya Dsm
- Bandari kavu Lubumbashi na Kapiri Mposhi zifunguliwe kwa serikali ya Tanzania na Zambia. DRC Congo kukubaliana. Mbona Burundi walikuwa na gati maalum Bnadari ya DSM toka mkoloni lakini baadaye serikali ya Tanzania ikaondoa kivutio hicho kwa Burundi? Soma zaidi: Belgium Burundi/ Congo special preference Dsm Port Guido Fallentheyn
- sikiliza mwenyewe matatizo lukuki ya bandari ktk video clip