Recent content by Valhalla

  1. V

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Why not? Sisi si ujinga wetu tu ila hakuna kilipaswa kutushinda
  2. V

    Single Mothers ni wamama Jasiri, wenye moyo wa chuma na upendo wa dhahabu

    Ku trendisha singo maza. Atlest sasa hv tunapokezana na kundi maalum wenzetu MA SIMP.
  3. V

    Kisa gani cha mapenzi ungependa tushare experience pamoja hapa jf

    Napenda ku share kuhusu Muha wangu je naruhusiwa?😆
  4. V

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Sidhani kama ana huo uwezo au labda huyo A ndo alomu abuse hadi akawa upinde? Dunia ina mengi
  5. V

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Kwa nilivyokusoma the soul behind hii ID ni moja ya watu wenye roho nzuri na pia hupendi ugomvi na huna kinyongo na pia ni mpole. Yawezekana nimekosea ila huwezi kuua mtu unatania tu.
  6. V

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Huyo ni mwanaume hata akiamua kumuua James Bond au Rambo au wote kwa pamoja jumlisha huyo A anaweza.😬
  7. V

    Historia ya Bichwa Komwe: Maktaba ya Jamiiforums

    Nakubaliana nawe ktk hilo.Nishaona akitema mawe ya maana sana sema ndo hivyo hata maprofesa vichaa wanaofundisha vizuri wanafunzi wao wapo☹️☹️.
  8. V

    Historia ya Bichwa Komwe: Maktaba ya Jamiiforums

    😍🌷🌷🥰❤️🎀🎀🥰🥰🥰🥰
  9. V

    Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Kwa upande wangu itoshe tu kusema Muha wangu ni nyara na hazina ya taifa hili. Muha wangu hunipa raha za kimwili na kiroho ambazo sijawahi na sidhani kama yupo mwanaume mwingine mwenye uwezo wa kumpa mwanamke raha hizi.😍❤️❤️🌷🌷🌷🥰😍😍 Kwa unyenyekevu Niwaombe tukae kimya sekunde 3 kama ishara ya...
  10. V

    Kitu gani kilikufanya usisimke namna hii?

    Muha wangu kuna jinsi ananiangaliaga! Nathithimka!❤️🤩🌷😍🥰❤️😋😍🥰🤩❤️🧡💛💚💙💜🤎🖤♥️💘💘💝💖💗💓💕💌❣️🔥💐🌹🥀🌷🌺🌸🏵️🍎🍒🍅🍓🎀❤️🧡💛💚💙💜🤎💝💖💗💓💕💌❣️🔥💐🌹🥀🌷🌺🌸🏵️🍎🍒🍅🍓🎀❤️🧡
Back
Top Bottom