Recent content by vakolavene

  1. vakolavene

    Hii song nimeielewa

    Naomba nifahamishwe hii ni nyimbo gani!?
  2. vakolavene

    Ndama wa nguruwe anakosa nguvu za miguu, naomba msaada

    Sent using Jamii Forums mobile app
  3. vakolavene

    Msaada mwenye past paper ya additional mathematics form two

    Habari wana uzi,naomba mwenye paper au kitabu cha Additional mathematics kwa kidato cha pili,nimejaribu kutafuta mitandaoni,tetea na kwingineko nimekosa,km unayo naomba share nami. Ahsante. Teacher is a source of all career .
  4. vakolavene

    Utengenezaji wa Sabuni za Aina Mbalimbali: Fahamu Mahitaji, Mchakato wa Uzalishaji na Masoko

    Habari zenu wanajukwaa. Mwaka umeanza kwa kufanya tathmini ya mwaka ulioisha na kubaini kwamba "business is un usual ", mambo yamebadilika sana na kumekua na haja ya kuongeza kipato na kupunguza matumizi yasio ya lazima. Ninaomba nifahamishwe(nitajiwe Sio kufundishwa-nitatafuta jinsi ya...
  5. vakolavene

    CRDB Salary Advance

    Halafu MTU anapiga hesabu za mwaka wakati kaambiwa salary advance, hv kuna salary inayotoka baada ya mwaka?
  6. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Saiv wananendelea poa dcp nliwapa pamoja na multivitamin Sent using Jamii Forums mobile app
  7. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Sent using Jamii Forums mobile app
  8. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Thanks man saiv wananendelea vizuri nliwapa dcp Sent using Jamii Forums mobile app
  9. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Aisee nashukuru nimewapa dcp wapo vizuri now. Nimeambiwa tatizo nlizidisha dozi ya esb3 nasikia inawasababishia ukizidisha. Now I am happy wananendelea vizuri japo wamekufa jumla wanne. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Nimewapa dcp, then after niwaanzishie glucose. Mana kichwa ishaanza kuvurugwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Thanks man Sent using Jamii Forums mobile app
  12. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Nachanganya kiasi gani kwenye chakula au nawapa ivoivo? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Asante kwa ushauri ndugu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    Likiwa kali kina athiri kumbe? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. vakolavene

    Msaada: Vifaranga wanaishiwa nguvu miguuni

    D. C. P au? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom