Kweli njaa ipo, wananchi jamii ya wafugaji (wasukuma) ktk wilaya ya Ulanga wamefikia hatua ya kutumia unga wa ngano kama unga wa sembe kwa kupika ugali na matumizi mengine kutokana bei ya unga wa sembe kg 1 tsh 2000 na unakuta mtu ana watoto 18 na wake 3, ni bora kanunue ngano ambayo kg 1 tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.