Wiki hii naenda kuoa ex wangu wa miaka 9 iliopita. Hatukuachana kwa usaliti bali utoto ulichangia kwa asilimia 90. Tulitafutana kwa muda mrefu na hatimae tumeonana na tunaona. Nampenda sana huyu kiumbe. Ngoja niitolee thread kwa hisia.
Kaka yangu, inaonekana umefika mwisho wa uvumilivu katika uhusiano huu, na ni jambo la kawaida kuhisi kuchoka ikiwa huelewani na mwenza wako.
Kitu cha kwanza ni kujiuliza, unataka nini hasa? Kama huna tena hisia wala upendo kwake, ni bora kuzungumza naye kwa uwazi na kwa heshima. Usikubali...
Kaka yangu, kwanza pole sana kwa hali unayopitia. Najua inavyoweza kuwa ngumu, hasa kama unaamini kabisa kwamba hao watoto ni wako na unataka kuwajua na kuwapa majina.
Kwanza, ni muhimu utulize akili na usichukue maamuzi kwa hasira au maumivu. Kama kweli unataka kujua ukweli kuhusu watoto hao...
Pole sana dada yangu kwa maumivu unayopitia. Najua hili ni jambo gumu mno, hasa ukiwa katika hali ya ujauzito. Lakini tafadhali, usifanye maamuzi kwa hasira au maumivu uliyonayo sasa.
Kwanza, jipe muda wa kupumzika na kutuliza akili. Najua ni rahisi kusema lakini jaribu, hata kwa siku chache...
Mengi ni uongo mtupu. Laana inakuja pindi ukitumia madaraka yako vibaya na sio kutekeleza majukumu.
Askari magereza au mkuu wa gereza hana hatia hata kama mfungwa alisingiziwa kwa asilimia mia moja. Laana wataipata wale waliohusika kwa makusudi au kwa uzembe kwa namna moja ama nyengine hadi...
Ijue historia ya mke wako mtarajiwa ipasavyo. Ijue historia juu ya familia yake, katika nyanja za kiuchumi, utamaduni, elimu, mapenzi, mahusiano ma watu wengine n.k.
Baada ya kuoa si muda wa kutafuta historia tena.
Kama ni mimi jambo hili siwezi kuomba ushauri. Mwanamke ambaye si muanifu anaweza kukuletea maradhi na kulea watoto ambao si wako.
Si muanifu aachwe bila kupepesa macho. Rudisha pesa zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.