Recent content by uzio usio onekana

  1. uzio usio onekana

    Mwili wa Joshua Mollel umewasili nchini Tanzania

    Ahsante sana Israel kwa kutufundisha utu. watanzania kwamba maisha yetu yanathamani kiasi gani katika hichi kipindi ambacho tunapitia kipindi kigumu. Ambacho serikali fake ya samia imeua maelfu ya raia wake na maiti kuzikatalia. Na wakati huo mabaki mtanzania mwenzetu mmoja Israel imebadilishana...
  2. uzio usio onekana

    GE2025 ICC toeni arrest warrant ya huyu mtu

    Wadanganyika tuungane kwa hili kwa sababu Tanganyika kwa sasa ni kama koloni la zanzibar, Na ndio maana huyu mwanamke ametuua sana, Na itaendelea kufanya hivyo kwa sababu wazanzibar hawajawahi kuwapenda wadanganyika daima.
  3. uzio usio onekana

    CHADEMA Yalaani Uvamizi wa Ofisi za Jamii Forums, Yataka Ufafanuzi wa Serikali

    chadema ndio chama pekee Tanzania ambacho kimejijengea heshima
  4. uzio usio onekana

    Deni la taifa sio halisia lazima tumepigwa

    yote inawezekana ila kwasasa Tanzania inahitaji akili kubwa sana,
  5. uzio usio onekana

    Deni la taifa sio halisia lazima tumepigwa

    hivi ni nani anaye jua uhalisia na uhakika wa deni la taifa, kwa sababu wanasema ndani ya miaka mitano deni la taifa limeongezeka kwa karibia Trion 40 hizo pesa ni nyingi sana kiasi kwamba haziendani maendeleo yalipo Tanzania, na ninajiuliza ilikuwaje rais wa bukinafaso aliweza kulipa deni...
  6. uzio usio onekana

    Ashukuriwe sana Polepole kwa kudhihirisha kwamba siku zote ukweli hauwezi kufichwa

    Kwa maelezo ya polepole Rostam aziz 40% ya faida ya Watanzania inaingia kwake, na hiyo faida ni kubwa sana kiasi kwamba Rostam hawezi kula peke yake hizo pesa lazima zinaenda kwenye taifa la marekani kwa sababu wanasema Rostam ni usalama wa taifa la marekani, Sisi lawama zetu ziwafikie...
  7. uzio usio onekana

    Urusi yafanya shambulio la pili kubwa zaidi la anga Ukraine, ikiwaua zaidi ya watu 23 na kuharibu jengo la Umoja wa Ulaya

    putin anafuata nyayo za Hitler, kwa sababu putin leo hii akisema vita viishe vinaisha. lakini putin leo hii anasema anataka mazungumzo ya amani lakini mashambulizi ni kama kawa hadi EU inashambuliwa.
  8. uzio usio onekana

    Urusi yafanya shambulio la pili kubwa zaidi la anga Ukraine, ikiwaua zaidi ya watu 23 na kuharibu jengo la Umoja wa Ulaya

    Kyiv imeshambuliwa usiku kucha na shambulio la anga la pili kwa ukubwa lililofanywa na Urusi tangu uvamizi wake kamili wa Ukraine, ambapo watu wasiopungua 23 wameuawa, wakiwemo watoto wanne, kwa mujibu wa maafisa. Majengo yanayomilikiwa na Umoja wa Ulaya na Baraza la Uingereza yameharibiwa...
  9. uzio usio onekana

    Wahouth huko Yemen wapata kipigo cha mbwa-koko kutoka Majeshi ya Israel!!!

    tatizo la Israel huluma zinamponza hapo ilitakiwa achome hata hata kawilaya kamoja kwaajili ya kuwapa taarifa yemen. kuchoma kagolofa kamoja na kuitangazia dunia. hapo Israel amezingua.
  10. uzio usio onekana

    Angalia watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa mikononi mwa mama zao mbele ya macho ya wenzao huku dunia ikiwa haitaki kuangalia.

    kabla hivyo vita havijaanza kwani hao watu wa gaza walikuwa hawafi kwa sababu haiwezekani kila kitu awe analaumiwa Israel.
  11. uzio usio onekana

    Kuna watu wananunua hela za omba omba mtaani elfu 10 kwa elfu 20

    Kuna siku nimekaa ofisini kuna omba omba alikuja kuomba msaada nikampa kuna jamaa aliniambia hao omba omba nisiwe nawapa hela akasema hizo hela ukiwapa kuna sehemu wanazipeleka kuziuza kama sh. elfu 10 za kuomba anaweza kuiuza elfu 20 na anasema hiyo amewahi kushuhudia kwa macho yake mwenyewe...
Back
Top Bottom