Ahsante sana Israel kwa kutufundisha utu. watanzania kwamba maisha yetu yanathamani kiasi gani katika hichi kipindi ambacho tunapitia kipindi kigumu. Ambacho serikali fake ya samia imeua maelfu ya raia wake na maiti kuzikatalia. Na wakati huo mabaki mtanzania mwenzetu mmoja Israel imebadilishana...
Wadanganyika tuungane kwa hili kwa sababu Tanganyika kwa sasa ni kama koloni la zanzibar,
Na ndio maana huyu mwanamke ametuua sana,
Na itaendelea kufanya hivyo kwa sababu wazanzibar hawajawahi kuwapenda wadanganyika daima.
hivi ni nani anaye jua uhalisia na uhakika wa deni la taifa,
kwa sababu wanasema ndani ya miaka mitano deni la taifa limeongezeka kwa karibia Trion 40
hizo pesa ni nyingi sana kiasi kwamba haziendani maendeleo yalipo Tanzania,
na ninajiuliza ilikuwaje rais wa bukinafaso aliweza kulipa deni...
Kwa maelezo ya polepole Rostam aziz 40% ya faida ya Watanzania inaingia kwake, na hiyo faida ni kubwa sana kiasi kwamba Rostam hawezi kula peke yake hizo pesa lazima zinaenda kwenye taifa la marekani kwa sababu wanasema Rostam ni usalama wa taifa la marekani,
Sisi lawama zetu ziwafikie...
putin anafuata nyayo za Hitler, kwa sababu putin leo hii akisema vita viishe vinaisha. lakini putin leo hii anasema anataka mazungumzo ya amani lakini mashambulizi ni kama kawa hadi EU inashambuliwa.
Kyiv imeshambuliwa usiku kucha na shambulio la anga la pili kwa ukubwa lililofanywa na Urusi tangu uvamizi wake kamili wa Ukraine, ambapo watu wasiopungua 23 wameuawa, wakiwemo watoto wanne, kwa mujibu wa maafisa.
Majengo yanayomilikiwa na Umoja wa Ulaya na Baraza la Uingereza yameharibiwa...
tatizo la Israel huluma zinamponza hapo ilitakiwa achome hata hata kawilaya kamoja kwaajili ya kuwapa taarifa yemen. kuchoma kagolofa kamoja na kuitangazia dunia. hapo Israel amezingua.
Kuna siku nimekaa ofisini kuna omba omba alikuja kuomba msaada nikampa kuna jamaa aliniambia hao omba omba nisiwe nawapa hela akasema hizo hela ukiwapa kuna sehemu wanazipeleka kuziuza kama sh. elfu 10 za kuomba anaweza kuiuza elfu 20 na anasema hiyo amewahi kushuhudia kwa macho yake mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.