Hayo ndio madhara ya wanajeshi toka ameajiliwa hadi anastafu hajawahi kuingia vitani, kwahiyo hapo mwili unamuwasha ameanza kutafuta vita ambavyo sio vya lazima.
Kabla haijaja AI tulidanganywa sana na tulilipa ghalama kubwa, na nashukuru AI ilivyo kuja na imekuja wakati sahihi sana, na walio tudanganya watuonyeshe uwezo wa halisi wa kufikiria, na watafute namna nyingine ya kuishi.
Ahsante sana Israel kwa kutufundisha utu. watanzania kwamba maisha yetu yanathamani kiasi gani katika hichi kipindi ambacho tunapitia kipindi kigumu. Ambacho serikali fake ya samia imeua maelfu ya raia wake na maiti kuzikatalia. Na wakati huo mabaki mtanzania mwenzetu mmoja Israel imebadilishana...
Wadanganyika tuungane kwa hili kwa sababu Tanganyika kwa sasa ni kama koloni la zanzibar,
Na ndio maana huyu mwanamke ametuua sana,
Na itaendelea kufanya hivyo kwa sababu wazanzibar hawajawahi kuwapenda wadanganyika daima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.