Recent content by uzewela

  1. uzewela

    JamiiForums Tanzania Nauza vitabu vya hard copy

    Mie natafuta kitabu kinaitwa society in the Dock by prince kagwema
  2. uzewela

    JamiiForums Tanzania Niliibiwa simu, wezi wamekopa kwenye line yangu. Hii inawezekana vipi wakuu?

    Wewe haujitambui inaomekana una shida.ukiibiwa simu piga mtandao husika jitambulishe taja majina na namba zako za simu vzr wakojithibitisha kuwa wewe ni mmiliki zinafungwa chap.mm ishanitokeq kuibiwa simu nilipiga sinu voda na line yangu chap ilifungiwa
  3. uzewela

    JamiiForums Tanzania Kuna baadhi ya graduates wanaomba connection ukiwapa wanakuangusha

    Magumu hadi sio poa.ajira portal anaitwa kwenye written tu ila oral bila bila ndugu.kama uma connection kindly assist.
  4. uzewela

    JamiiForums Tanzania Kuna baadhi ya graduates wanaomba connection ukiwapa wanakuangusha

    Nigeie mmoyo connection kwa ajili ya mdogo wang.amemaliza chuo 2017 bachelor procurement and logistics management. Yupo home tu sasa hv hana dira
  5. uzewela

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ni wabunge gani wamedumu kwenye nafasi zao kwa muda mrefu zaidi?

    Tuanze na mbunge Kishimba
  6. uzewela

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”

    Kwa siku za hivi karibuni kumeibuka Wimbish la utekaji unaofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa ni wa vyombo vya ulinzi na usalama.alianza setiva akapatikana bahati nzuri makosa waliyofanya vyombo vya ulinzi na usalama hayatajirudia tena.sasa hv ukitekwa tu jua ndio bai bai mama jeni hutoonekana...
  7. uzewela

    JamiiForums Tanzania Tuache upotoshaji; Deo Bonge alikuwa anakamatwa sio kutekwa

    Mtoa maada kwa majibu anayojibiwq bila shaka atakuwa ashajinyonga
  8. uzewela

    JamiiForums Tanzania Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam

    Udini udini.piga ban huyu na fungia huu uzi chap.ikuwapedeza
  9. uzewela

    JamiiForums Tanzania Simba wamlipe Mbwiga wa Mbwiguke kwa kutumia maneno ubaya ubwela

    Kama ana hati miliki ya huo msemo aende mahakamani na atalipwa vzr tu
  10. uzewela

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anamchukia Mama yake mzazi?

    Sikuliza wimbo wa besti naso simpendi mama ndio utajua kama wana matatizo ya akili au lah!
  11. uzewela

    JamiiForums Tanzania Tupige kidogo ‘mastori’ ya Mchungaji Christopher Reuben Mtikila

    Nimekupa gwala kwa sababu u e acknowledge source
  12. uzewela

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Serikali ya CCM Mei Mosi mmejifanya wajanja, tutawanyoosha Uchaguzi Mwakani

    Hama unanja kila mwaka ni yale yale mnaenda tena mkijua wataboresha.wameshawafanya mjione vifaranga vya kuku kila siku mtanyonya kesho na kesho haifiki.
  13. uzewela

    JamiiForums Tanzania Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

    Jaribu dawa niliyotumia mm uone kama haupona
Back
Top Bottom