Kwako Mheshimiwa waziri wa ardhi na makazi mfumo wa wizara yako unaopatikana kwa njia ya mtandao HAUKO SAWA ndiyo maana tumeshindwa kupata control number kwa ajili ya kulipia malipo ya umiliki wa ardhi ya kila mwaka.
Hati ya Umiliki ardhi ninayo nahitaji kufanya malipo, Naomba uingilie kati...
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, anatarajiwa kumfichulia siri Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu kile anachodai ni hatua za Iran za kuendeleza tena mpango wake wa nyuklia katika eneo la Pickaxe Mountain, kwa mujibu wa taarifa ya gazeti la New York Post iliyochapishwa Jumatatu...
Hatimaye komandoo Benjamin netanyau yuko hewani muda huu ndani ya ndege maalumu ya kisasa anaenda kuonana na TRUMP ikulu ya white house. Wadau kaeni mkao wa kula kwani yajayo ya afurahishwa! . msiwe na hofu taarifa zote za huko white house nitakuwa nawaletea 🔴 🛑...
RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI BILL CLINTON ADAI KUWA Aliwapa Wapalestina ardhi yote ya GAZA na asilimia 97 ya Ukingo wa Magharibi wa mto Jordani (West Bank) lakini kiuhalisia Wapalestina hawakutaka kabisa kuwa na nchi yao wenyewe bali walichokitaka ni kuendelea kuua wayahudi
Wadau tafadhali mjisomee biblia takatifu kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana mtakuta ushahidi kamili huko, muhimu ukiwa unasoma omba roho mtakatifu akuongoze. She's the last prophetess
AMEANGAMIZWA: KAMANDA WA HAMAS, WALID HANIYA—ambaye anadaiwa kuwapiga risasi na kuwaua watoto 10 wasio na hatia mbele ya familia zao, na ambaye pia anadaiwa kumbaka kwa nguvu na kumuua mwanamke Mkristo ndani ya nyumba yake kabla ya kutupa mwili wake kwenye mfereji wa karibu—ameangamizwa katika...
Iran imeashiria kuwa haina nia ya kufanya mashambulizi dhidi ya Israel katika hatua hii, ikisema kuwa hatua hiyo itamuimarisha tu Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu wa Oktoba nchini Israel.
Maafisa wa Iran wanadai kuwa Netanyahu anakabiliwa na shinikizo la kisiasa...
SANAMU YA DHAHABU YA RAIS TRUMP KUWEKWA IRAN KWA HESHIMA YAKE! .
Wafuasi sugu wa rais trump wanapendekeza sanamu ya dhahabu ya Trump iwekwe mjini Tehran siku chache baada ya "kulikomboa" taifa hilo kutoka kwa utawala wa Kiislamu, ikiwa ni ishara ya amani mpya kati ya Washington na Iran.
#MAGA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.