Recent content by Uzalendo wa Kitanzania

  1. Uzalendo wa Kitanzania

    TANZIA Ulale salama sajenti Rose Nyawira

    Mpiga picha wa cdf marehemu Kenya
  2. Uzalendo wa Kitanzania

    TANZIA Ulale salama sajenti Rose Nyawira

    Wadau hamjamboni nyote Mungu amlaze mahala pema peponi mpiga picha na sajenti rose nyawira wa Jeshi la Kenya aliyefariki kwa ajali majuzi. Mwendazake alikuwa mpiga picha wa mwendazake CDF Kenya
  3. Uzalendo wa Kitanzania

    Tahadhari ili kuepuka gharama uji wa ulezi huchanganywa na unga wa mchele

    Natoa tahadhari na sijasema wauzaji wote
  4. Uzalendo wa Kitanzania

    Tahadhari ili kuepuka gharama uji wa ulezi huchanganywa na unga wa mchele

    Wadau hamjamboni nyote? Nimeona niwape tahadhari kabla ya kuwatakia usiku mwema Ni kwa wale Ndugu zangu wanaopenda kunywa uji wa ulezi kama mimi hapa. Huu ni utafiti usio na chembe ya uongo kuhusu uji wa ulezi unaouzwa kwa kutembezwa barabarani na Wamama hususani hapa Dar es salaam Inadaiwa...
  5. Uzalendo wa Kitanzania

    Marufuku kunywa pombe asubuhi Singida

    Wadau hamjamboni nyote? #HABARI Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendego amepiga marufuku wananchi wa mkoa huo kuanza kunywa pombe asubuhi badala ya kufanya shughuli za maendeleo na za kiuchumi hali ambayo inaweza kusababisha kudumaa kwa shughuli za kiuchumi kwa wananchi. Mkuu wa mkoa ametoa...
  6. Uzalendo wa Kitanzania

    Nimegundua Pentagon kahawa club Salasala ndiyo inaongoza kwa kahawa bora zaidi

    Wadau hamjamboni nyote? Nimetembelea vijiwe vingi vya kahawa Tanzania lakini pentagon kahawa club iliyopo maeneo ya Salasala dar es salaam ndiyo sehemu iliyonivutia zaidi Utapata kahawa bora, customer care ya hali ya juu , ustaarabu mkubwa wa wanywaji, usalama na mada zilizoenda shule...
  7. Uzalendo wa Kitanzania

    Leo nimekula mihogo mitamu na laini kama keki maeneo ya Mbuyuni

    Wadau hamjamboni nyote Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli! Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki Nimpongeze sana huyu mama mpishi...
  8. Uzalendo wa Kitanzania

    Wapenzi washabiki na Wanachama wengi wa Simba kutoenda kwa Mkapa Jumamosi hii

    Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Hizi ni tetesi zinasambaa kwa kasi mtaani japo hakuna mtu aliyejitokeza kushuhudia na kuthibitisha ukweli wake Kwamba wahusika hawatokwenda kwa wingi kama desturi yao kwa kukosa Imani na boti yao Naomba kama yupo mwenzetu ndani ya jukwaa...
  9. Uzalendo wa Kitanzania

    Kamanda wa Hezbollah auawa na jeshi la Israel

    Wadau hamjamboni nyote Jeshi la Israel IDF limefanikiwa kumuua kamanda Mkuu wa kikundi cha ugaidi cha Hezbollah kupitia shambulizi la drone Leo Jumanne Mungu ibariki Israel Times of Israel Hezbollah commander killed in IDF strike as attack drones injure 3 in northern Israel By EMANUEL FABIAN...
  10. Uzalendo wa Kitanzania

    Rais Samia akutana na rafiki yake waliyesoma shule ya Msingi na sekondari

    Wadau hamjamboni nyote? Hatimaye wameonana baada ya kuachana miaka mingi wakiwa shuleni pamoja. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na majirani zake wa zamani Bi Asha Salum Abdallah aliyesoma naye Shule ya Msingi na Sekondari na mume wake Inspekta Mstaafu wa Jeshi la Polisi...
Back
Top Bottom