Recent content by Uzalendo wa Kitanzania

  1. U

    Netanyau kuzungumza na waandishi wa habari usiku huu

    Prime Minister Benjamin Netanyahu will give a televised statement tonight at 8:30, followed by a virtual press conference with foreign reporters, his office says. This will be the second virtual press conference Netanyahu has given since the war began 20 days ago
  2. U

    Mkurugenzi Mkuu idara ya kudhibiti ugaidi aliyejiuzulu majuzi anachunguzwa kwa tuhuma za kuvujisha nyaraka za siri

    25min ago FBI investigating if top counterterrrorism official who resigned leaked classified info By AP FILE - Joe Kent, then-director of the US National Counterterrorism Center, speaks during a congressional debate at KATU studios, October 7, 2024, in Portland, Oregon. (AP Photo/Jenny Kane...
  3. U

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Amekosa mbinu za ushindi, Yanga haikabi wala haina kasi kama zamani Nashauri atafutwe Kocha mwingine haraka i ukweli hana uwezo kuivusha timu na ni Muda muafaka aachwe
  4. U

    Jenerali wa kwanza mwenye nyota nne mwenye asili ya Afrika ateuliwa jeshi la Navy Marekani tangu miaka 246 ya kuanzishwa jeshi hilo

    Semper Fidelis. In the Marine Corps, under President Donald J. Trump color does not matter. Merit does. For the first time in its 246-year history, the U.S. Marine Corps has promoted a Black officer to the rank of four-star general. General Michael E. Langley has made history. Commissioned...
  5. U

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Israel + Marekani vs Iran

    Israeli Air Force in ACTION 🇮🇱🇮🇱🇮🇱
  6. U

    Maziko ya Ayatolla Khamenei yameahirishwa muda huu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa Iran

    Iran imetangaza kwamba mazishi ya kitaifa ya Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khamenei, ambayo yalipangwa kufanyika jioni hii mjini Tehran, yameahirishwa “kwa matarajio ya mahudhurio yasiyo ya kawaida,” kwa mujibu wa televisheni ya taifa. “Sherehe ya kumuaga Imam shujaa (aliyefariki kishujaa)...
  7. U

    Tazama picha ya putin akiwa amelala mkononi akiwa na picha ya Ayatolla

    Daaaa hi I vibonzo
  8. U

    Mtoto wa Hayati Ayatolla Khamenei na mrithi mtarajiwa Mojtaba amekuwa akitibiwa kwa siri tatizo la ugumba na nguvu za kiume Uingereza

    🚨 "HEIR APPARENT" OR "MEDICAL MYSTERY"? US Intel Drops Bombshell on Khamenei’s Potential Successor 📂💊 As the dust settles on the ruins of the Tehran command centers, U.S. Intelligence has leaked a report that is sending shockwaves through the Iranian diaspora. Mojtaba Khamenei, the...
  9. U

    The Department of War has named four of the six U.S. service members killed in a drone attack in Kuwait:,

    BREAKING: The Department of War has named four of the six U.S. service members killed in a drone attack in Kuwait: Capt. Cody A. Khork, 35, of Winter Haven, Florida; Sgt. 1st Class Noah L. Tietjens, 42, of Bellevue, Nebraska; Sgt. 1st Class Nicole M. Amor, 39, of White Bear Lake, Minnesota; and...
  10. U

    Wadau huyu msabato anaapa kuwa Papa ndiye mwenyekiti wa UN, naombeni ushahidi kwani kwenye muundo sioni

    Ni ubishi ubishi mkubwa wadau msaada. Kwenye organisation structure ya UN hakuna hiko cheo lakini yeye anaapa kuwa Papa ndiye mwenyekiti wa kudumu wa taasisi hiyo nyeti
  11. U

    Nimenusurika kupigwa nimetukanwa na rafiki yangu kwenye kijiwe cha kahawa leo kisa kuishabikia Marekani

    Wadau ni kisa cha kweli kabisa kimetokea Leo mida ya jioni kabisa. Kadai kuwa marekani ni ibilisi kaishambulia iran ili kueneza ushoga halafu mimi nashabikia. Sikujua kumbe jamaa ni msimamo mkali imebidi niwe mpole sana kuleta amani.
  12. U

    Israel yalipua na kusambaratisha jengo ambalo kulikuwa na wajumbe waliokuwa wakipanga kumchagua mrithi wa Ayatolla

    Kumekuchaaa. Haijulikani kulikuwa na Wajumbe wangapi na wangapi wameuawa. ========= Mashambulizi ya K Израeli na Marekani yamepiga jengo la taasisi inayohusika na kuchagua kiongozi mpya mkuu wa Iran, tayarishwa na vyombo vya habari vya ndani. “Wahalifu wa Kimarekani na Kizayuni walishambulia...
  13. U

    Unawashauri nini viongozi hao wakubwa duniani

    Maoni yenu wadau
  14. U

    Makamanda wakuu wa jeshi la IRGC wanaandaa mrithi wa AYATOLLAH kinyume cha utaratibu rasmi wa sheria

    EXCLUSIVE Iran's Guards push to name next leader outside legal procedures 2 hours ago Listen to this article The Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) is insisting on the swift appointment of the next leader of the Islamic Republic after Ali Khamenei's death, sources with knowledge of the...
Back
Top Bottom