Recent content by Uwazitu

  1. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Simbachawene: Polisi inalishughulikia shambulio la kutumia silaha kwa Tundu Lissu kama uhalifu mwingine na upelelezi unaendelea

    Simbachawene, inua macho yako juu, mwombe Mungu wako wa KWELI ayape KIBALI maneno yanayotoka kinywani mwako yasiwe ya kinafiki
  2. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania New TARURA Parking Fee System inaenda kuwa aina mpya wizi na uonevu

    Hizo ni MBINU za waziri wa fedha za kuongeza mapato ya Serikali.a
  3. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Ludovick Utoh: Kuna ukakasi kusema Rais ametoa hela inapaswa kuwa Serikali imetoa hela kutekeleza miradi

    Hapana. Inajenga KIBURI na anaona yuko juu mno. Kama iraendelea hivyo, Bunge lisiwe linajadili Bajeti ya Serikali wamwachie Rais afanye inavyompendeza yeye.
  4. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

    Kidume chako kiko wapi kwa sasa? Chuma hakina ujanja mbele ya kutu.
  5. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Video: Kumbuizi ya miaka minne (4) ya kupigwa risasi 37, Tundu Lissu ajibu swali la kupigiwa simu na Dr. Willbroad. P. Slaa...

    Aligeuka akalala kifudifudi ,(akalalia tumbo) hivyo mguu wake wa kulia ukawa upande wa wasiojulikana wanaojulikana.
  6. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Ndugai anawaonea wivu Wanasheria kujiita ‘wasomi’? Bila shaka atawaandalia Muswada

    Hata Madiwani, Wabunge, Makatibu Wakuu, Mawaziri na Rais KUANZA na Mheshimiwa inakera sana. Ina maana Watumishi wa kada zingine hawapaswi KUHESHIMIWA? NAKUMBUKA KUNA WAKATI MWL. NYERERE ALIFUTA (ALIKATAA) NENO MHESHIMIWA AKAELEKEZA NENO NDUGU LITUMIKE ILI KULETA USAWA NA UPENDO.
  7. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Sasa Mbowe kutetewa na Mawakili zaidi ya 390, hii ni baada ya NCCR Mageuzi kuongeza jopo la mawakili 4

    Hakupelekwa mahakamani. Aliuawa. Angepelekwa mahakamani angeshinda kesi.
  8. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu kama utatawala kwa kutokuzingatia haki, HAKI halisi itahitimisha safari yako utawala

    KWA HILI LA MBOWE HAKI ITENDEKE. EWE MWENYEZI MUNGU IDHIHIRISHE HAKI KATIKA HILI.
  9. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania CCM inaogopa Katiba Mpya zaidi ya maambukizi ya COVID-19

    HAO WANACHADEMA SIYO WANANCHI (WATANZANIA)?
  10. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Chanjo ya COVID-19 iwe ya lazima

    HIVI KWELI KWAMBA MBOWE HAKUONGELEA HIZO TOZO ZA KIDHALIMU KWA WANANCHI AMEONGELEA KORONA TU? MBOWE, MBOWE, MBOWE HUKUSIKIA KILIO CHA WATANZANIA KUHUSU HIZO KODI ONEVU, ZA MANYANYASO NA DHULUMA?
  11. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe kulihutubia taifa 19 Julai, 2021

    Mwenyekiti wa Chama Taifa.
  12. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Mbowe aingia Mwanza usiku mnene kuwapigania Wanachadema waliorundikwa selo bila makosa

    Ni utoto unakusumbua, ukikua utaelewa kwa nini ameenda Mwanza. HEKIMA NA BUSARA IMETUMIKA. MWAKASEGE alipata habari za KIFO cha mwanae Joshua akiwa jukwaani Mbeya, hakuahirisha kipindi mpaka baada ya kukamilisha kipindi. HEKIMA NA BUSARA ILITAWALA. KWA HILO BABA YENU MDOGO FREEMAN MBOWE...
  13. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kabambikiwa sakata la Mwanza?

    Kuwa na KATIBA imara na yenye msimamo kama MSUMENO wa kula mbele na nyuma (kwa watawala na watawaliwa) KATIBA itakayo elekeza cha kufanya na kuadhibu kila upande(watawala na watawaliwa) KATIBA itamke wazi kuwa "Mtu yeyote (mtawala na mtawaliwa) atakaye tenda tofauti na MATAKWA YAKE adhabu yake...
  14. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Dr Mwigullu: Bajeti ikishapitishwa na bunge ni Sheria, sitaweza kubadili chochote kwenye Tozo!

    Kwa hiyo Wananchi wachukue / wafanye UAMUZI kama kwenye SAKATA LA BEI YA MKATE HUKO KWA WENZETU WAJANJA?
  15. Uwazitu

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Miamala na Tozo: Naenda kufungua kesi mahakamani

    KAMA KUPANDA KWA BEI YA MKATE HUKO KWA WENZETU KULIMWONDOA RAIS MADARAKANI, WATANZANIA NI MABWEGE KIASI GANI TUNABAKI KUKALAMIKA TU KUHUSU HII TOZO?
Back
Top Bottom