Hapana.
Inajenga KIBURI na anaona yuko juu mno.
Kama iraendelea hivyo, Bunge lisiwe linajadili Bajeti ya Serikali wamwachie Rais afanye inavyompendeza yeye.
Hata Madiwani, Wabunge, Makatibu Wakuu, Mawaziri na Rais KUANZA na Mheshimiwa inakera sana.
Ina maana Watumishi wa kada zingine hawapaswi KUHESHIMIWA?
NAKUMBUKA KUNA WAKATI MWL. NYERERE ALIFUTA (ALIKATAA) NENO MHESHIMIWA AKAELEKEZA NENO NDUGU LITUMIKE ILI KULETA USAWA NA UPENDO.
HIVI KWELI KWAMBA MBOWE HAKUONGELEA HIZO TOZO ZA KIDHALIMU KWA WANANCHI AMEONGELEA KORONA TU?
MBOWE, MBOWE, MBOWE HUKUSIKIA KILIO CHA WATANZANIA KUHUSU HIZO KODI ONEVU, ZA MANYANYASO NA DHULUMA?
Ni utoto unakusumbua, ukikua utaelewa kwa nini ameenda Mwanza.
HEKIMA NA BUSARA IMETUMIKA.
MWAKASEGE alipata habari za KIFO cha mwanae Joshua akiwa jukwaani Mbeya, hakuahirisha kipindi mpaka baada ya kukamilisha kipindi.
HEKIMA NA BUSARA ILITAWALA.
KWA HILO BABA YENU MDOGO FREEMAN MBOWE...
Kuwa na KATIBA imara na yenye msimamo kama MSUMENO wa kula mbele na nyuma (kwa watawala na watawaliwa)
KATIBA itakayo elekeza cha kufanya na kuadhibu kila upande(watawala na watawaliwa)
KATIBA itamke wazi kuwa "Mtu yeyote (mtawala na mtawaliwa) atakaye tenda tofauti na MATAKWA YAKE adhabu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.